Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
[emoji23][emoji23][emoji23] ila millard ana followers huko youtube na insta kuzidi kituo chochote cha redio hapa bongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshusha sana Lil Ommy.

Weight yake inaweza kuwa sawa na Salama.

Millard bado, ila yuko kwenye right track.
Energy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy

Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao

Inshort lil ommy hana same weight na salama
 
Energy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy

Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao

Inshort lil ommy hana same weight na salama

Got you.
 
Umemshusha sana Lil Ommy.

Weight yake inaweza kuwa sawa na Salama.

Millard bado, ila yuko kwenye right track.
Halafu usisahau kuwa lil ommy na millard ni vitu viwili tofauti...

Millard ana utangazaji wake upo very calm ambao unaendana na content pamoja na personality yake. Hii inamfanya kusikilizwa na rika karibia zote

Lil ommy utangazaji wake una vibe na upo relevant zaidi kwa rika la vijana maana ndo content wanazopenda

Hapo ushajua mshindi nani japo lil ommy namkubali maana kuwin audience kwenye era ya millard .alifanya kazi
 
Energy (vibe) + detail oriented (kitu ambacho presenters wengi hawana) = lil ommy

Sikiliza interview za lil ommy nyingi utaona flow ni ya details na mostly ni vitu mtu alipost kwenye insta au twitter account ..
Kiufupi hana diversity sana kwenye maswali na hii humfanya kuwa less flexible ndo maana akikutana na mgeni ambaye yupo nje ya entertainment industry huwa anastruggle sana kuendana nao

Inshort lil ommy hana same weight na salama
Safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah!
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Millard Ayo kichwa kikubwa kama mkubwa wa siafu amshinde ecejay?!.Nguvu anayotumia Millard na Platform aliyonayo .Salama akitumia theluthi tu hakuna wa kumfikia East Africa nzima.Chukua Dozen + Millard +Mjukuu+ Lil Ommy+ watangazaji wa jahazi pia wapate na back up ya Shonza +Abbas + Mwakyembe bado hawamfikiii kistuli.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu usisahau kuwa lil ommy na millard ni vitu viwili tofauti...

Millard ana utangazaji wake upo very calm ambao unaendana na content pamoja na personality yake. Hii inamfanya kusikilizwa na rika karibia zote

Lil ommy utangazaji wake una vibe na upo relevant zaidi kwa rika la vijana maana ndo content wanazopenda

Hapo ushajua mshindi nani japo lil ommy namkubali maana kuwin audience kwenye era ya millard .alifanya kazi

Nimekusoma mkuu, sikuiangalia katika angle hii.

Una point.
 
Back
Top Bottom