Pamoja mkuuNimekusoma mkuu, sikuiangalia katika angle hii.
Una point.
Tutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.
Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.
Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.
Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
Hizo namba za wapi??..Digital platform au?namba za wasafi fm/Tv zpo vzuri kuliko clouds fm/Tv unataka niambia wasafi ni bora kuliko clouds
Salama ana uwezo mkubwa wa kuuliza maswali korofi yale tena kwa ustadi wa hali ya juu.
Salama kuna ile interview aliyo mfanyia Mzee wa upako,alimchokonoa mpaka akawa anataka kumaindi lkn Salama anaye mwanzo mwisho.
Kibongo bongo namba sio ishu, ndo maana hata tukisema watanzania wote tusimchague magu, lakini matokeo yatakuja magu ni mshindi, namba waachie wazunguTutazame numbers, je takwimu zinasemaje, ni interviews za nani zimependwa zaidi tuangalie tu.
Maneno maneno huwa yana utata sana lakini hesabu hazidanganyi.
Mfano, kwa hicho unachokisema tukikitafsiri kihisabati, tatachukua numbers za Lil Ommy + Millard ili tuone kama ni kweli ukubwa wa Salama ni sawa sawa na unachonena.
Mwisho wa siku tutoe hoja kwa facts and figures maana uhalisia upo hapo na si kwenye mtazamo ama mahaba binafsi pekee.
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli kabisaKibongo bongo namba sio ishu, ndo maana hata tukisema watanzania wote tusimchague magu, lakini matokeo yatakuja magu ni mshindi, namba waachie wazungu
Salama, nilicheki inteview yake na lil ommy. Nilitamani isiwe na mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
naikumbuka iyo hahahahaha mzee alishaanza kukunja ndita usoni halafu wenzie wakina muba walikua wanaogopa balaa kuuliza maswali?????Salama ana uwezo mkubwa wa kuuliza maswali korofi yale tena kwa ustadi wa hali ya juu.
Salama kuna ile interview aliyo mfanyia Mzee wa upako,alimchokonoa mpaka akawa anataka kumaindi lkn Salama anaye mwanzo mwisho.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu nimeangalia avatar yako nikaunganisha na neno lako la mwisho nikajikuta nacheka tu,Kawaida ya mademu wa kibongo chuki na wivu..mtaendelea kuwa masingo Maza mpaka mzae misukule
Sent using Jamii Forums mobile app
Laiti ungejua!And that's why Millard is the best