Tetesi: Salama Jabir apigwa mimba

Tetesi: Salama Jabir apigwa mimba

kama sio ya Fid Q basi itakuwa ya A.Y au yule Shaba Rans kwenye mkasi
 
Wewe si mtoa mada, comment ilidhamiriwa kuwa ya mtoa mada lakini unajitia kiherehere cha kuuliza. Kama umetiwa mimba na wewe tafadhali katafute wa kumpelekea kisirani cha ujauzito wako, usilete kwangu. Na kama dhamira yako ni kuongeza idadi ya post basi umefanikiwa.
Mkuu punuguza jazba nimecheka sana laiti mngeonana USO kwa USO sijui kipi kingetokea
 
Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Of what use!
 
Kwani salama ni wa kiume hadi asipigwe mimba, udaku wako peleka huko
 
Jamaa kaniwahi. Hiyo mimba ilikuwa nimpige mimi
 
Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Ulitaka apigwe nani hiyo mimba?
 
Wakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Sasa wewe inakuhusu nini watanzania aisee baada ya kuwaza maendeleo wewe unawaza ujinga
 
Back
Top Bottom