Na waasisi WA hii dhana ni Jerry Muro na Manara, kabla ya hawa wawili wasemaji WA Simba na yanga walikuwa wanazingatia taaluma ya uhandishi WA habari.Tatizo watu wamekariri kua msemaji wa club ni lazima awe mtu wa mipasho na taarabu.
Hizo timu achana nazo kabisa,hao al ahly utlas wao wakiwa 50 tu uwanjani kama wapo watu elfu 70Zamalaki,Al-hilal,Mazembe hua wanahamasishwa na Nani?
Hizo timu achana nazo kabisa,hao al ahly utlas wakiwa 50 tu uwanjani kama wapo watu elfu 70
Kuna watu wanahisi eti Simba itatafuta hafisa habari mwingine wa kurusha vijembe,hilo wasahau kabisa.Wewe unataka mpira au hamasa?
Nilishtuka Sana mkuu, unajua mwanamke kidogo anatakiwa awe na aibu hata kiduchu.Sometimes wanaongea vitu kama hivi ili jukwaa lichangamke, ni sehemu ya creativity lakini alisogea mbele sana.
Mabadiliko makubwa katika uga wa michezo,hasa futiboli. Na iwe hivyo. Ikishindikana basi Steve Nyerere🙄🙄🙄🙄Ni salama jabir mshabiki na mwanachama wa simba Sc, za chini ya kapeti zinasema yeye ndio msemaji mpya wa Simba
Karibu msimbazi ecejay
View attachment 1921685
Pale aibu ziligoma kuingiaNilishtuka Sana mkuu, unajua mwanamke kidogo anatakiwa awe na aibu hata kiduchu.
Masau ni Shabiki wa Yanga huyo kama ilivyo kwa Msemaji wa Azam nae ni Yanga damu.Kwanini msingemchukua Masau bwire ? Na akaunti ya insta akapewa admin wa ruvu shooting
Kuna bugati m1 tu,kolo mtasema yote lakini haji ana 100% kuwatangaza mitandaoni,bila haji msingekua na followers wale kule IG na twitterKuna watu wanahisi eti Simba itatafuta hafisa habari mwingine wa kurusha vijembe,hilo wasahau kabisa.
Hhaahha! Sasa mzee wako alikereka nini? Anaona haiwezekani? Au ndo wae watu hawakubali kuw binadamu hutofautiana?Siku 1 huko late 2000's Niko na Mzee tunaangalia TV, Salama akauliza hivi Ni wkt unafanya kitu gani ndipo hua unapanga mipango yako ya kimaisha mizuri na mizito ndg mtazamaji?
Akajijibu Mwenyewe(Salama) akisema,Mimi binafsi nikiwa nakunya ndipo hua napanga mikakati yangu.
Tangu miaka hio mpk Leo mzee wangu hua hataki kabisa kumuona Salama,hua nacheka kichizi nikikumbuka.
Kuziba pengo! Sio kwamba Simba wanajenga kabisa? Maana kwa mtizamo wangu hawakuwa na mkuu wa habari wa karne hij?Hana hamasa huyooo. Huyo mdada hana amsha amsha kama Manara .Ukweli ndiyo huo na msema kweli ni mpenzi wa Mungu tusijifariji kirahisi hivyo kuziba pengo la Bugati ni ngumu si rahisi kihivyo.Kama hamuamini tusubiri muda utasema
Hahaha!makaveli bwanaHuyu kidogo kichwani betri ina chaji.
Namheshimu nugaz na nampenda ssanaa tena sanaa!hanaga shida yule kaka,hata sasa Yanga wamemtema ataishi vzr hana baya na mtuunaposema amsha amsha unaamaanisha kuongea vijembe na matusi au? maana Manara sikuona hizo amsha amsha miaka minne mitano nyuma akiwa pale simba..
team ikifanya vizuri haitaji propaganda na amsha amsha.. kila wiki watu wanajazana kwenye tv kuangalia team za ulaya.. zinapata pesa kwenye haki za matangazo ya tv sababu zina mashabaki dunia nzima
manchester hajachukua ubingwa miaka saba ila anakimbiza kwenye mapato ya television maana dunia nzima watu wanajazana vibanda umiza kuwaangalia..
ushaona wapi wanafanya amaha amaha dunian au hata kwao UK
mpira wa vijembe na matusi unatengeneza chuki.. ndo maana sasa hv simba na yanga chuki zimezid miongon mwa mashabiki sababu ya matusi..
90% ya mashabiki wa yanga wana chuki halisi na simba sababu ilikuwa manara..
ila simba hawana chuki na msemaji au mhamasishaji wa yanga sababu walikuwa hawatukani...
Haji angekuwa kama dismas ten wala yanga wasingeahangilia manara kuhamia yanga wangesema hawamtak ni simba ila sababu ya ile chuki walionayo walionayo wanashangilia wakijua sasa hv watakuwa wanatukanwa simba..
sasa hv uwanjan shabiki wa simba kukaa upande wa yanga ni kosa la jinai..
jaman tubadilike kuendesha mipira kiswahili utatutia upofu wa kuona vitu vya msingi..
utan unaruhusiwa uwe na kipimo
Yule mwingine chenga ujue, kichwa kina u empty set fulani hivi.. [emoji23]Hahaha!makaveli bwana
Mbona Masau Bwire anapiga domo lakini timu yake imeponea chupuchupu kucheza play off?Kuna bugati m1 tu,kolo mtasema yote lakini haji ana 100% kuwatangaza mitandaoni,bila haji msingekua na followers wale kule IG na twitter