Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"trend"= kuvumaHivi hili neno "trend" halina kiswahili!!? maana kila sehemu naona linatajwa kama lilivyo, tafadhali mkuu naomba unisaidie tafsiri yake "trend"
Tz hakuna kipindi chenye maswali kama ya hardtalkMkuu Jk alikwenda pale baada ya kuona kuwa nature ya maswali ya kipindi kile ni ya kirafiki, sidhani kama angekanyaga pale Kama kipindi kingekuwa na elements za hardtalk
Nilimsema Jaffo.Ulipewa ban ulifanyeje?
Haaaaa, poleNilimsema Jaffo.
Ndo hivyo hapa JF hatuwezi tena kutoa maoni yetu wazi wazi.Haaaaa, pole
Mimi siku hizi kwenye siasa sipo kabisa, naona michosho tuNdo hivyo hapa JF hatuwezi tena kutoa maoni yetu wazi wazi.
Salama ni mtu wa sports sana mpaka anakula madili dstv kwenye michezo makampuni ya kubet. Ni mdau wa soka ambae anafahamika wazi, cha ajabu ni nini kujuana na kina Kaduguda, Nizar au wachezaji wengine na wadau wa soka na michezo kwa ujumla??Acha uongo, mwina kaduguda ni rafiki wa salama? Nizar khalfan?
Watu wanaogopa sana sahivi kama utakumbuka juzi mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro alikuwa akiongea na waandishi wa Habari kuhusu corona mkoani kwake ilivosambaa na kuwaambia watu wajilinde wenyewe nilitegemea magazeti ya jana yageitoa hiyo habari front page lakini sijaona chochote.Ndo hivyo hapa JF hatuwezi tena kutoa maoni yetu wazi wazi.
Ungetuwekea na picha bwashee sisi tulioko chita huku hatuwajui hao kwani ni wabunge wa wapiWanajamvi, leo naomba tujadili nani mkali kati ya watangazaji hawa wawili wa kike, Zamaradi mketema wa Zamaradi tv na Salama Jabir wa Yahstone town. Je ni nani kati yao anao uwezo mkubwa sana wa kufanya mahojiano na watu maarufu. Yupi unamkubali kwa maswali yaliyokwenda shule?
Hahah...we jamaa jinga sana, ushawaza mambo yao yaleSalama and Ellen wamefanana sana style zao[emoji4]
Ahsante Chief, Nakuombea kwa MUNGU azidi kukubariki (Maana najua ulishabarikiwa toka ukiwa kwenye kiuno cha Baba yako)"trend"= kuvuma
Ikarahansi ana-trend jF
Ikarahansi anavuma jF
Hivi hili neno "trend" halina kiswahili!!? maana kila sehemu naona linatajwa kama lilivyo, tafadhali mkuu naomba unisaidie tafsiri yake "trend"