Andazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,113
- 2,234
Habari zenu kama tunavyojua mpendwa wetu Leejay49 alipata shida kidogo iliyopelekea kufanyiwa upasuaji wa sikio na jicho ni baada ya muda kidogo leo nimepata kuwasiliana nae
Anasema anaendelea vizuri kiaina na kutokana na hali yake ameshindwa kujibu tag zote alizokuta humu jukwaani (Bado hayuko fit kihivyo) hivyo kwa niaba yake ameniomba nije niwape taarifa kuwa yupo na anaendelea vizuri
Nimeambatanisha Screenshot as proof
Basi naomba tuendelee kumuombea ili arejeee katika hali yake ya kawaida mapema na tumujuike nae humu
Anasema anaendelea vizuri kiaina na kutokana na hali yake ameshindwa kujibu tag zote alizokuta humu jukwaani (Bado hayuko fit kihivyo) hivyo kwa niaba yake ameniomba nije niwape taarifa kuwa yupo na anaendelea vizuri
Nimeambatanisha Screenshot as proof
Basi naomba tuendelee kumuombea ili arejeee katika hali yake ya kawaida mapema na tumujuike nae humu