Salamu kutoka kwa member mwenzetu leejay49 "Yupo salama anaendelea vizuri"

sidhan aseee,, ingawa pia sijui na sina hakika πŸ˜‚
Hujiamini tatizo 🀣🀣🀣
🀣🀣 Na ss tutajie
Dogo everyday nakudiss coz siamini kama wewe mwanamke unachuza watu tu humu najua mengi na nakufananisha na mengi hebu tupia video yako pm ukionesha lips zako tu ukisema Andazi Andazi then nitataja jina langu coz lishawahi sababishida kina Depal Na Gily Gru humu ndani wakala ban
 
Jus kidding πŸ˜‚ take easy..mbona maneno yanakutoka we dada ...?
Kheeee πŸ˜…
 
Jus kidding πŸ˜‚ take easy..mbona maneno yanakutoka we dada ...?
Kheeee πŸ˜…
Nakujua wewe ni wakiume Id yako imetoka kula ban juzkati baada ya kujaa kwenye mifumo na kama nitakuwa kwenye point uliwatapeli mabasha huko PM
 
Nakujua wewe ni wakiume Id yako imetoka kula ban juzkati baada ya kujaa kwenye mifumo na kama nitakuwa kwenye point uliwatapeli mabasha huko PM
Kwahiyo Kila anayelambwa ban ni mwanaume...?
Embu nitolee wowowo hapa
Ungenijua ww si ungelinga...?
Or jus seeking attention...
Hao niliowatapeli ni kina nani..?
Na nimewatapeli nini..?

Kama unautaka Sema tukuitie wahuni...
 
Kwahiyo Kila anayelambwa ban ni mwanaume...?
Embu nitolee wowowo hapa
Ungenijua ww si ungelinga...?
Or jus seeking attention...
Hao niliowatapeli ni kina nani..?
Na nimewatapeli nini..?

Kama unautaka Sema tukuitie wahuni...
Huna akili wala tabia nakujua sana unaweza jificha kwa kujifanya mwanamke ila real tabia majibu na muandiko ndio ule ule

Last mimi ni kidume so sitakuwa na muda tena wa kujibizana na kijitu kilichoshindwa kulelewa vizuri
 
Ndefu kama mwaka huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…