Prof Janabi wa JF
Senior Member
- Jul 7, 2023
- 165
- 450
Habari zeni wa-TAMISEMI,
Katika harakati zangu huku kwa Biden nikakutana na vijana wanacheza mchezo wa hiki kidude. Nikaona mtu mweusi hashindwi kitu. Nikaomba na mimi niwaoneshe jinsi wabantu tunafanya.
Hawakuwa na hiyana, wakanipa hicho kidude, nikataka kufanya hizo flips kama wao. Ya kwanza ikagoma nikarudia mara kadhaa ikawa nakaribia kupatia.
Basi ile time napatia kiliondoka kwa speed, nikajisogeza kwa mbele kubalance wapi...
Kuja kukaa sawa kitambi kiko kwenye hicho kidude mdomo upo kwenye sakafu, vidamu kwa mbali... nikasema naam michezo na umri.
Ila nishakinunua hicho kidude naendelea na zoezi maeneo salama.
Muishi salama enyi watamisemi
Katika harakati zangu huku kwa Biden nikakutana na vijana wanacheza mchezo wa hiki kidude. Nikaona mtu mweusi hashindwi kitu. Nikaomba na mimi niwaoneshe jinsi wabantu tunafanya.
Hawakuwa na hiyana, wakanipa hicho kidude, nikataka kufanya hizo flips kama wao. Ya kwanza ikagoma nikarudia mara kadhaa ikawa nakaribia kupatia.
Basi ile time napatia kiliondoka kwa speed, nikajisogeza kwa mbele kubalance wapi...
Kuja kukaa sawa kitambi kiko kwenye hicho kidude mdomo upo kwenye sakafu, vidamu kwa mbali... nikasema naam michezo na umri.
Ila nishakinunua hicho kidude naendelea na zoezi maeneo salama.
Muishi salama enyi watamisemi