Salamu kwenu Atheist wa Jamii Forums

Mimi binafsi sina wasiwasi na mawazo yako kwani najua tatizo lenu wala sina mashaka na nyinyi.
 
Kumbe wewe ni mjumbe mzuri wa Mungu!
 
Asishurutishwe mtu aamini au asiamini uwepo wa mungu kila mtu alizaliwa peke yake vivyo hivyo atakufa peke yake
Elimu na Injili lazima iwafikie kwani kuna mtu katishiwa au kalazimishwa.

Mbona mnajihami sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…