Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu ni kwamba Mungu hayupo.Hebu wewe tupe jibu
Kumekucha 😹
Binafsi napenda pakuche hawa nyumbu waelimike mkuu.Kumekucha 😹
Mimi binafsi sina wasiwasi na mawazo yako kwani najua tatizo lenu wala sina mashaka na nyinyi.Kwanza mimi sijaumbwa ni wewe unafosi na kulazimisha mawazo yako uchwara kwamba nimeumbwa.
Hakuna Mungu Aliyeumba kitu chochote kile.
Huyo Mungu mmemtunga vichwani mwenu tu Na wala huwezi kuthibitisha uwepo wake.
Huyo Mungu ana exist kwenye kichwa chako tu, Hayupo katika uhalisia.
Sasa kama huna mashaka kaa kwa kutulia na umwache huyo Mungu wako aje ajitetee mwenyewe kama ana huo uwezo.Mimi binafsi sina wasiwasi na mawazo yako kwani najua tatizo lenu wala sina mashaka na nyinyi.
Uwepo wa Mungu,mojawapo haya mabishano, tayari ni uwepo wa Mungu!Uthibitisho tosha wa nini?
Kumbe wewe ni mjumbe mzuri wa Mungu!Yeye Mungu kama aliacha ngano na magugu vikue pamoja, Wewe ni nani wa kusema hutaki magugu?
Unaona unavyo jichanganya mwenyewe?
Huyo Mungu kama aliacha ngano na magugu vikue pamoja, Basi akae kwa kutulia akufuriwe vya kutosha mpaka pale atakapo pata akili ya kutenganisha ngano na magugu.
Maana huyo Mungu wenu inaonekana hajielewi kabisa.
Lakini kuelimishwa ni muhimu piaUmeshasema IMANI wana haki ya kuamini au kutoamini kwa maana mambo ya imani hayana uthibitisho.
Elimu na Injili lazima iwafikie kwani kuna mtu katishiwa au kalazimishwa.Asishurutishwe mtu aamini au asiamini uwepo wa mungu kila mtu alizaliwa peke yake vivyo hivyo atakufa peke yake
Mungu yupo jana leo na hata milele ni Alpha na Omega hana mwanzo wala.Jibu ni kwamba Mungu hayupo.
Mungu ni dhana uchwara mliojitungia huko vichwani mwenu wala haipo katika uhalisia.
Mungu ni jina uchwara tu.Kumbe wewe ni mjumbe mzuri wa Mungu!
Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo milele.Mungu yupo jana leo na hata milele ni Alpha na Omega hana mwanzo wala.
Mwisho.
We ndo wakuelimishwa usiingilie uhuru waoLakini kuelimishwa ni muhimu pia
We ndo wakuelimishwa usiingilie uhuru wao
Utafiti huu hapa soma kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma.Leta utafiti na uthibitisho unao eleza kwamba Atheists wengi wanajiua.
Wahehe wanao jinyonga sana mkoani Iringa na wao pia huwa ni Atheists?Utafiti huu hapa soma kwa sababu wewe ni mvivu wa kusoma.