Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karbu niko Jiji la Beira nduguYESU NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, MTU HAENDI KWA BABA ( MUNGU ) BILA KUMKIRI YEYE.
Huyu nk nani tena?
Ebwana hii dunia acha tu nimekuta Shekhe wa Msikiti fulani sitotaja jina na sitomtaja jina leo asubuhi alikua anafuatilia ibada ya Christmas inaruka live kwenye kanisa la RC somewhere in Dsm ilikua YouTube, kwa hio sishangai kwa Salah kufanya hivyo ni sehemu ya Ibada ya Nabii Issa Bin Maryam Nabii ambaye wanamuamini zaidi kuliko Mtume Muhammed S.A.W ni Yesu Kristu Mwana wa Mungu hio Mwana wa Mungu isikuchanganye hakuna Mwana wa Shetani anaeishi sisi sote ni wana wa Mungu msianze kusema Mungu hana mtoto wakati yeye ndiye aliyekuumba, km wao wanavyoamini alikuwepo ila tu hawatambui km hio ndio trh sahihi ya kuzaliwa kwake
Kutoka wapi Buza?Bado tuu Waislamu uchwara hawajafika kuangusha kilio 😂