Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Popote pale Waislamu wa mchongo wanapopatikana 😂Kutoka wapi Buza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popote pale Waislamu wa mchongo wanapopatikana 😂Kutoka wapi Buza?
Story kama hizi ukipiga kwenye kijiwe cha draft pale Kurasini unaonekana genius sana.Utakuta hao ni watanzania ndio wametoa povu hilo bila kujua dunia inaongozwa na mfumo wa iluminat ambao wengi waliuingiza kwa kiasi kikubwa kwenye ukatoliki na madhehebu mengi ya wakristo yamekopi vitu vingi kwenye ukatoliki bila kujua kuwa vingine ni ibada za ki Illuminati.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Salah anaishi na Wakristo na watu wa imani tofauti na yake. Anaona upendo wanaompatia na suppport wanayompa hasa kipindi cha Ramadhani.View attachment 3185233View attachment 3185234cheki povu sasa
Comments kama hizi zilikuwepo hata mwaka janaView attachment 3185233View attachment 3185234cheki povu sasa
HahaaaaaaStory kama hizi ukipiga kwenye kijiwe cha draft pale Kurasini unaonekana genius sana.
Sio 80% wote 100% watakuwa kuni.Maskini ndio wanaojifanya wanaijua dini ili Hali karibu 80% wataenda motoni
🤣🤣🤣🤣View attachment 3185233View attachment 3185234cheki povu sasa
Tafuteni hela Muache kupost ujingaUtakuta hao ni watanzania ndio wametoa povu hilo bila kujua dunia inaongozwa na mfumo wa iluminat ambao wengi waliuingiza kwa kiasi kikubwa kwenye ukatoliki na madhehebu mengi ya wakristo yamekopi vitu vingi kwenye ukatoliki bila kujua kuwa vingine ni ibada za ki Illuminati.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa kasoma Chio kikuu cha Kikatoliki USA (George town University) A Jesuit Universty..hivyo yupo open minded sana
Masikini ndio hao sasa, thinking wao ndio wana rights na wachezaji wa mpira, povu wametoa utadhani wanaishi mbinguni.. religion imewapumbaza wengiView attachment 3185233View attachment 3185234cheki povu sasa
Nasikia mmevamia magereza na kuwafungulia wafungwa huko, kama walivyofanya jamaa wa Syria.Karbu niko Jiji la Beira ndugu