Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Ile hesabu ya darasani ya simple interest achana nayo bro. Hapa kwenye mabenki kuna charges na tozo kibao. Tena nyingi kama mchanga wa bahari. Nakuhakikishia maana mimi ni mkopaji mzuri wa benki zilizopo Tanzania. Na ninapofika Tawi la benki kukopa huwa namuona afisa mikopo nampiga maswali ananichambulia tozo na gharama za kuupata mkopo.
elimu ya riba Bado ni ndogo sana Kwa watu..
 
Hii Salary slip siyo genuine in any way,
  • Huyo mtumishi hawezi ku-qualify hiyo pesa
  • Mfumo wenyewe ungekataa automatically ku-capture hayo marejesho sababu una violate rule ya 1/3 ya basic pay as take home
Ndugu mkopo ulikwenye mkataba siyo 42m.. ila hyo ni pesa pmoja na riba. Piga hesabu mtu anakatwa Miaka 8 na makato Ndo hyo... Hakuna shida hpo. Makato Yako bomba. Na makato unaangalia Kwa mwezi na nini ubabaki nacho.
 
Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
Ulishajijenga mwanzo, kabla ya hiyo 40m inefanya kuboresha
 
Itakutesa kama hutaitendea haki. Huo mkopo wa nmb kama kanunua apartment tayari mwenzio anamiliki nyumba. Wewe unae ogopa mikopo utaweka kwenye kibubu na kila mwezi unakivunja.
Asante kwa matumizi yako ya neno KAMA... Je kama hajanunua hizo apartment..???

Ambu tujikite kwenye kilichoandikwa kwenye slip na ambacho mleta mada amekileta..!! Na mleta mada ametaka kila mtu aseme alichojifunza.. Sasa wewe badala ya kusema ulichojifunza, UNAANZA KUKOSOA NILICHOJIFUNZA MIMI KWA KUTUMIA DATA ZA NJE YA SLIP..!! AJABU....

Tupunguze matumizi ya maneno KAMA, LABDA, PENGINE, UTAJUWAJE.. etc..!! wewe sema ulichojifunza
 
Anaweza akawa ameliuza deni la HESLB kwa NMB. Lakini pia unaweza kuwa sahihi kuwa alishamaliza deni la mkopo. Kutokana na salary slip yake, endapo kama alianza kazi na bachelor, generally, not specifically, inaonesha atakuwa na maika kama 15 hivi kazini. Muda ambao unaweza kuwa umetosha kabisa kulipia deni lake la HESLB endapo alikuwa na deni hilo.
Miaka 7 kwa degree holder
 
Hapo ndo kama ulichukua mkopo, ukajenga nyumba ikaishia kwenye renta sijui wenyewe mnaita😆😆😆, bado utakuwa umepanga na kwa makato hayo kujenga tena subiri miaka 7au mitano deni likipungua. Hapo shughuli ipo, ndo mtu anaanza kuichukia kazi
Ndo maana watumishi kunyimwa nyongeza na kupanda madaraja kwa zaidi ya miaka saba kumewaweka katika wakati mgumu sana, sema watu hawajui tu.......mtu kama huyu anakuwa anatarajia kupanda daraja na nyongeza kupunguza makali ya mkopo lakini ndo inakuwa hivyo tena.
 
..Kama mkopo amefanyia uwekezaji basi anaishi vizuri

Ila kama ametumia mkopo kuwekeza ktk madeni ni mateso kwake
 
Dah, kwa kada zetu hizi tofauti na Ewura, BOT, NSSF,PSSSF,BANDARINI,SIASA tena ukiwa super senior emploee/worker kuajiriwa ni utumwa na kujitafutia stress na kifo.
Take home 314k wakati dalali hiyo anapata kwa nusu saa tena kwa kumtembeza mnunuzi au kutangaza biashara ya bosi
Konda na dereva wa dala dala ..... 20-30k kwa sikuuu, net take home 900k
 
Ndugu mkopo ulikwenye mkataba siyo 42m.. ila hyo ni pesa pmoja na riba. Piga hesabu mtu anakatwa Miaka 8 na makato Ndo hyo... Hakuna shida hpo. Makato Yako bomba. Na makato unaangalia Kwa mwezi na nini ubabaki nacho.
Kwa akili yako kwa miaka minane anaweza kupata mkopo ambao total principle plus interest ya 42M for 8yrs given the rate of interest is 18 percent?
 
Back
Top Bottom