MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Huyo anayeanza na 1.5m ndo tumlinganishe na huyu mwamba wa 0.94m tena TGTS E1 akiwa ameitumikia Jamhuri kwa si chini ya miaka 18?Mkuu acha kukariri B.O.T,NSSF,PSSF mshahara hamna anayeanza na mshahara angalau wa 2M.tena bandari ni 1.5M hapo mwenyewe unafuu ni EWURA ambaye degree holder anaanza na 3.5
Na hata kwenye siasa labda use Mbunge au Waziri-vyeo vingine vyote hakuna chochote utafaidika pia jua fika huko kwenye uwaziri na Ubunge risk zake nazo ni kubwa tena sana-na ukitaka kujua jaribu uone.
Bila shaka take home yako ni chini ya 314k lakini sio mbaya bwashee kupanga ni kuchagua endelea kula maishaAkili ya ndezi hii!
Mkopo ni sehemu ya maisha ya watumishi wa serikali na baada ya mkopo ndio anachobaki nacho kupeleka kwakeWewe unaangalia take home, huangalii huo mkopo?
Kakopa zaidi ya uwezo wake
NMB sijui waliruhusuje huu m
Inashindkana nini, toa mahesabu Yako yanapofelKwa akili yako kwa miaka minane anaweza kupata mkopo ambao total principle plus interest ya 42M for 8yrs given the rate of interest is 18 percent?
Huwa mnadanganyana,hiyo kazi ya ukonda na udereva wa daladala ingekua inalipa kiasi hicho kila mtu angetamani kuifanya.Konda na dereva wa dala dala ..... 20-30k kwa sikuuu, net take home 900k
Vote code :- 71B7View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Atakuwa alikamilisha nyumba bhana.., sio ‘Lental’Hapo ndo kama ulichukua mkopo, ukajenga nyumba ikaishia kwenye renta sijui wenyewe mnaita😆😆😆, bado utakuwa umepanga na kwa makato hayo kujenga tena subiri miaka 7au mitano deni likipungua. Hapo shughuli ipo, ndo mtu anaanza kuichukia kazi
Definitely, unaweza kuishi na mwenza quite comfortably. Sasa wale omba omba ni mtihani.Ile idea ya kununua bonds ikupate uwe na nyumba tatu, moja unaishi na mbili zinakupa laki saba kila mwezi. Ukitoa matengenezo unaweza kuwa na laki tano. Hii pesa na bado uwe unapata interest ya bonds zako BOT na una pension ya kila mwezi. Unaweza kumudu bia mbili kila jioni.
Hayo ameyasema vizuri sana bwana Robert Kiyosaki kwenye kitabu chake cha Rich Dady's Cash flow Quadrant...Dah, kwa kada zetu hizi tofauti na Ewura, BOT, NSSF,PSSSF,BANDARINI,SIASA tena ukiwa super senior emploee/worker kuajiriwa ni utumwa na kujitafutia stress na kifo.
Take home 314k wakati dalali hiyo anapata kwa nusu saa tena kwa kumtembeza mnunuzi au kutangaza biashara ya bosi
Hongereni watumishi wa umma, hakika mnaenjoy maisha!Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.
Acheni kuwaza juu juuKonda na dereva wa dala dala ..... 20-30k kwa sikuuu, net take home 900k
Ulikua na mtaji wa shilingi ngapi mkuu?Nimeangalia hyo slip mara mbili mbili, nimeona nianzishe tena biashara yangu ya uwakala, ilikuwa inanipa 400k kwa mwezi...nikaona ndogo, sasa kumbe kuna watu wanapata 300k kwa mwezi na ni wafanyakazi...narudisha biashara yangu
Hiyo 42+M wamemkopeshaje kwanza?View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Mikopo ya banki ni wizi mtupu! Wakikupa 10m utalipa zaidi ya 18m. Wakikupa 20m jiandae kulipa zaidi ya 37m.Inamaana bank wanakula 20m sawa na mkopo...si ni utapeli huu
TGS G kuwa na take home ya chini ya laki 5 kisheria haiwezekani mana ni lazima ubakie na 1/3 ambayo sio chini ya laki 5. Hapa utakuwa umetudanganya kidogo Afisa.Kimsingi kama kawaida ya JF, mtoa Post alileta hoi post kwa lengo la kuponda utumishi wa umma ila majibu ya wadau mazuri na yanamvunja moyo. Yeye alitaka tuishambulie hiyo 300k anayoipata.
Mimi nina chini ya 500K kwa mwezi kama mshahara wangu toka TGS G sikuwa na loan board na nilikopa zaidi ya 40M ambayo inanisaidia kwenye mzunguko wa zaidi ya 1.2M kwa mwezi toka kwenye Kilimo, ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, duka la Pembejeo na bodaboda za mkataba. Kumbuka nilishajenga na nipo kwangu hapo.