Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Huyo anayeanza na 1.5m ndo tumlinganishe na huyu mwamba wa 0.94m tena TGTS E1 akiwa ameitumikia Jamhuri kwa si chini ya miaka 18?
Huoni baada ya miaka 10 mtu anayeanza na 1.5m atakuwa mbali sana kuliko huyu aliyeko mezani?
 
Vote code :- 71B7

Tarehe ya kuzaliwa 2041 - 60 = 1981
17/11/1981

Mbona ni rahisi sasa KUMJUA?

#YNWA
 
Atakuwa alikamilisha nyumba bhana.., sio ‘Lental’
 
Definitely, unaweza kuishi na mwenza quite comfortably. Sasa wale omba omba ni mtihani.

Nyumba simple za kupangisha hata room moja moja zinaleta hela nyingi monthly. Hata ujenzi wake ni rahisi sana
 
Hayo ameyasema vizuri sana bwana Robert Kiyosaki kwenye kitabu chake cha Rich Dady's Cash flow Quadrant...
 
Hongereni watumishi wa umma, hakika mnaenjoy maisha!
 
Sisi watumishi wa serikali ndo tunaelewa tunaishije,inshort sijui kwa kada za kawaida kama ualimu na udaktari lkn serikalini kwenye mashirika ya umma ns wizarani watu hatuishi kwa mishahara,mishahara ni kwa ajili ya kukopea tu,
Huo mshahara haujainclude ;
-over time ambayo mara nyingi huwa ni kianzia siku 20 kwa mwezi kwa rate ya kuanzia 30,000 kwa ofisa ambayo mtu anakuja 600,000,hiyo haikatwi kodi na ni fixed ipo kwnye standing order ya taasisi,
-kuna posho za vikao ambapo rate ni 100,000 kwa kikao na ofisa haipiti siku ukakosa kikao au kwa uchache walau kwa wiki una vikao vitatu,
-kuna madokezo ya posho,asilimia kubwa ya kzi serikali tunaandikia posho,kazi hiyohiyo niliyolipwa kikao pia naiandikia posho na jina la kwanza ktk dokezo la posho ni la mpitishaji malipo na wahasibu walipaji ambapo rate huwa ni kuanzia laki kwa siku,kama nimeandika kazi imefnyika kwa siku 7 nakunja laki 7 isiyokatwa kodi,etc,
Sijainclude safari,transport allowance,meal allowance etc,
Inshort mtumishi wa umma wa kwenye mashirika mengi na wizara hawaishi kwa mshahara,kwenda leo kazini kurudi na milipn 2 kawaida hapo nje ya rushwa na 10percent!1
 
Konda na dereva wa dala dala ..... 20-30k kwa sikuuu, net take home 900k
Acheni kuwaza juu juu

Unajua konda na dereva wanapata shida gani barabarani
Masaa ya kazi zaidi ya 12 kila siku ila mtumishi akizidisha analipwa

Semina ngapi
Na mambo mengi ambayo kuna taasisi hata mshahara unaweza usiutegemee tena kama kungekua na uwezekano wa kukopea wotee wengine wangekopea
 
Ukute kwenye hiyo 42m loan plus interest mwamba aliambulia 24m tu. Daah maisha sio fare kabisa
 
Hiyo 42+M wamemkopeshaje kwanza?
Huku ni kusababishiana mtu kuichukia kazi isee!
 
TGS G kuwa na take home ya chini ya laki 5 kisheria haiwezekani mana ni lazima ubakie na 1/3 ambayo sio chini ya laki 5. Hapa utakuwa umetudanganya kidogo Afisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…