MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Huyo anayeanza na 1.5m ndo tumlinganishe na huyu mwamba wa 0.94m tena TGTS E1 akiwa ameitumikia Jamhuri kwa si chini ya miaka 18?Mkuu acha kukariri B.O.T,NSSF,PSSF mshahara hamna anayeanza na mshahara angalau wa 2M.tena bandari ni 1.5M hapo mwenyewe unafuu ni EWURA ambaye degree holder anaanza na 3.5
Na hata kwenye siasa labda use Mbunge au Waziri-vyeo vingine vyote hakuna chochote utafaidika pia jua fika huko kwenye uwaziri na Ubunge risk zake nazo ni kubwa tena sana-na ukitaka kujua jaribu uone.
Huoni baada ya miaka 10 mtu anayeanza na 1.5m atakuwa mbali sana kuliko huyu aliyeko mezani?