Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Udalali nao una changamoto zake, hana guarantee ya kupata kila siku au kila mwezi pesa hizo
 
Hii s
Hii salary slip ya mchongo. Kwa mshahara wake hawezi kupata huo mkopo
 
Nimeangalia hyo slip mara mbili mbili, nimeona nianzishe tena biashara yangu ya uwakala, ilikuwa inanipa 400k kwa mwezi...nikaona ndogo, sasa kumbe kuna watu wanapata 300k kwa mwezi na ni wafanyakazi...narudisha biashara yangu
Pambana
 
Huyu ni mwalimu wa tanzania kabisa na CHAKUHAWATA yake .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkopo milion arobaini unarejesha miaka mongapi? Mshahara mbona mdogo sana
 
Akiachana na Kazi atafanya biashara kwa ufanisi zaidi.

Hiyo kuendelea kuajiriwa huku umejiajiri bado huna uhuru wa Kusimamia biashara, kimwili na kiakili.

Maybe kama ameamua awe moderate!!
Wewe turnover yako kwa mwaka Ni kiasi gani?

 
Mikopo ilishawahi kunitesa sana...ila ilikua ujana na sikua na majukumu. Asikwambie mtu kukopa pesa na yote ukafanyia cha maana ni bahati. Hata nusu ya mkopo ukifanyia cha maana unabahati maana hata hicho cha maana ulichofanyia ni mara chache kikulipe. So wengi wanakopa ku-catch up na maisha na ku-upgrade kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…