Vipi na maisha anayoishi...kwa ufahamu wangu mshahara unalipwa kulingana na gharama za maisha....unaweza kuta anatumia kwa mwezi milioni 40
hebu angalia vizuri,siyo kwa wiki hiyo!?Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
more money more spending pia kule wanakatwa kodi ya mapato kubwa hatari hasa wageni, pia maatumizi ya nyumba na huduma zingine za kijamii kwa kiwango cha ustaa wake utakuta anasevu kahela kadogo tuKatika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Ni kwa wiki mkuu...sio kwa mweziKatika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Hiyo milioni 45 ni Baada ya makato yote ya kodi Ndio anabaki na hiyoKatika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Bado ndogo sana kwa maisha ya hapa ulaya, sawa simfikii mimi ila hali ya umaarufu wake na matumizi ya aina ya wachezaji wenzake bado ni mshahara mdogo sana, kuna Hasheem Thabit walikuwa wanakula 300 milioni per month, hivi hata Samatta angalau afike kwenye 200 Milioni,Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
SureEquivalent ya $20k, Ni ndogo kwa maisha ya mchezaji wa ligi kuu ulaya, but ,.congrats to him...
Samatta Ana bidii Sana uki compare Na Hawa wa matopeni hapo Kariakoo,,,,
Hiyo pay ni ndogo mkuuDogo analamba pay ya maana.. ulaya ni ulaya tu jamani
YesPesa kiduchu sana kwa mtu ka yeye.....
Anansemea yeyeUnaingiza sh ngap mkuu kwa mwaka?(no hard feelings)
Sure Alafu maisha magumuHonestly speaking wanampa hela ndogo sana jamaa afu ukicheki anapiga mpira mwingi kishenzi yani
Yeshiyo ni ndogo sana
Nd hiyo thabeet anavuta mkwanja mrefuNimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi