Salary ya Mbwana Samatta

Salary ya Mbwana Samatta

Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
hebu angalia vizuri,siyo kwa wiki hiyo!?
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
more money more spending pia kule wanakatwa kodi ya mapato kubwa hatari hasa wageni, pia maatumizi ya nyumba na huduma zingine za kijamii kwa kiwango cha ustaa wake utakuta anasevu kahela kadogo tu
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Ni kwa wiki mkuu...sio kwa mwezi
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Hiyo milioni 45 ni Baada ya makato yote ya kodi Ndio anabaki na hiyo
Lakini muda sio mrefu anaanza kulipwa pauni elfu 70 kwa wiki pale England
 
Halafu kingine genk wamempangia nyumba maana yake club Ndio inalipia pango la nyumba
 
Mie namuombea heri nimuone pale kwenye EPL au la Liga Santander.
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Bado ndogo sana kwa maisha ya hapa ulaya, sawa simfikii mimi ila hali ya umaarufu wake na matumizi ya aina ya wachezaji wenzake bado ni mshahara mdogo sana, kuna Hasheem Thabit walikuwa wanakula 300 milioni per month, hivi hata Samatta angalau afike kwenye 200 Milioni,

Hizo 45 ni hela kwa Tanzania ila kwa huku ni chenji

Cha muhimu tumuombee afike pazuri zaidi
Jon Stephano luambo makiadi
 
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
Nd hiyo thabeet anavuta mkwanja mrefu
 
Back
Top Bottom