[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana mkuu. Ni ile longo longo ya Wabongo kujifanya tunajua kila kitu nami nimefuata mkumbo tu. Nasikiaga tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Kongowe hatujambo ndugu yangu. Huko kwema? Sister na wapwa zangu wakoje? TUMSHUKURU MUNGU [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Habari za Kongowe shemeji ?
Hakika ni Jumapili yenye kushangaza,upendo wa Mungu umetuzunguka,nafsi zetu zimetawaliwa na amani.Kongowe Mzinga hatujambo ndugu yangu. Huko kwema? Sister na wapwa zangu wakoje? TUMSHUKURU MUNGU [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ndogo ulaya au bongo?Hiyo pay ni ndogo mkuu
Ulaya maana samatta anakaa hukuNdogo ulaya au bongo?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mduanzHapana mkuu. Ni ile longo longo ya Wabongo kujifanya tunajua kila kitu nami nimefuata mkumbo tu. Nasikiaga tu [emoji16][emoji16][emoji16]
ni kweli KBSBado ndogo sana kwa maisha ya hapa ulaya, sawa simfikii mimi ila hali ya umaarufu wake na matumizi ya aina ya wachezaji wenzake bado ni mshahara mdogo sana, kuna Hasheem Thabit walikuwa wanakula 300 milioni per month, hivi hata Samatta angalau afike kwenye 200 Milioni,
Hizo 45 ni hela kwa Tanzania ila kwa huku ni chenji
Cha muhimu tumuombee afike pazuri zaidi
Jon Stephano luambo makiadi
Mkuu hiyo figure ni ya mwaka2016ni kweli KBS
million 45 kwa ulaya ni hela NDOGO mno
wengi wanaona ni nyingi kwasababu hawajaishi ulaya
mshahara huo utakatwa ma kodi hatari
mm hapa Germany kinachoni fever ni ma semina ninayotembea nchi mbalimbali
mshahara huku unakatwa hatari
Kodi 30% Europe karibia yote,Halafu wakala aliyemsimamia mkataba hatujui analamba ngapi,then inakuja matumizi ya kawaida rent,msosi,nguo,usafiri kivyako nje ya kambi.Mkuu Jon Stephano hapo hujaweka kodi hawa washenzi wa huku kodi haikwepeki
hata kama bdo ni mshahara kdgMkuu hiyo figure ni ya mwaka2016
ulitaka alipwe ngapihata kama bdo ni mshahara kdg
Uongo ni Euro elfu80 which is equal to 163mKatika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Ni kwa wiki mkuu...sio kwa mwezi
angalau 100ulitaka alipwe ngapi
Ulaya utamletea mbwembwe nan wakuja tu?Kwa Bongo hiyo fedha kama wangekuwa wauza sura ingekuwa hakukaliki lakini Samata hana makuu wala mbwembwe.Mungu aendelee kumpa mafanikio
Kwa sasa yupo wapi?Vipi kuhusu uncle Mrisho Khalfan Ngasa,au ndo wabongo tushampotezea kama kawaida yetu.