Salary ya Mbwana Samatta

Salary ya Mbwana Samatta

Unajua kodi anayokatwa katika huo mshahara? Utilities na mambo mengine kama siyo mwangalifu mwisho wa mwezi hana kitu
 
Wamempa jezi ina nembo ya Golden Bull juzi kuonyesha kuwa yeye ndio leading top scorer of Jupiter Pro League....[emoji460][emoji460][emoji460]
IMG_20160831_195458.jpg
 
Equivalent ya $20k, Ni ndogo kwa maisha ya mchezaji wa ligi kuu ulaya, but ,.congrats to him...
Samatta Ana bidii Sana uki compare Na Hawa wa matopeni hapo Kariakoo,,,,
maisha gani sijui kama wachezaji wana bata sana kusema iishe yote
 
Angekuwa Ruby angeikataa hata kama ameshasaini mkataba.

SWALI:Huko TP Mazembe alikuwa ana-make kiasi gani?

Yawezekana Hasheem bado anampiku Samatta hata hilo daraja alilopo hivi sasa.
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.
Duh! Kwa viwango vya ligi kuu za majuu naona wanamlipa pesa ndogo sana. Hiyo si ni sawa na Euro 18,000 kwa mwezi? Nadhani wanatakiwa wamwongezee. ngalau kuwango hicho kiwe kwa wiki, si kwa mwezi.
 
Unaingiza sh ngap mkuu kwa mwaka?(no hard feelings)
1. Tunajaribu kulinganisha na hali ya maisha ilivyo juu ulaya, tena kwa mastaa
2. Tunajaribu kulinganisha na wachezaji wengine katika ligi kuu huko anakocheza, maana wanafanya kazi kama yeye. Tofauti zinatakiwa ziwepo lakini naona bado hapo wamempunja, may be ni kianzio tu watazungumza na kupatana tena baadaye
 
Kwa standards za Europe bado hiyo ni fweza kiduchu sana
Cha msingi dogo akomae ili apate team kwenye league nyingine kubwa ili avute fweza Ya maana
 
Katika pitapita zangu kwenye mitandao nlikua curious kujua ndugu yetu na mtanzania mwenzetu kijana wetu na ambae ana inspire vijana wengi katika kutia juhudi na kufanikiwa kimaisha, mbwana samata,hapo alipo kwa mwezi anapokea kiasi cha Tsh.45,000,000/= kwa exchange rate ya siku ya leo ya euro mana they are paid in euro's. Its lot of money if you ask me for a tanzanian player like him playing abroad.
Anyway hio ni kwa samatta. Sijamskia kabisa braza hasheem thabit mana ndo alikua anaongoza kwa tanzania sports players ambao wanalipwa pesa ndefu. Embu tujuzwe alipo.huyu bwana mdogo.

Sio milioni 45 ni milioni 79 kwa mwezi kabla ya kodi
 
Nimejaribu kuchek ya hasheem thabeet, it was his last contract in 2014, average salary per year ni 2.3 billion Tsh. Dah sasa najiuliza ama wadau mnisaidie sjaona investment yoyote aliyofanya hizo hela zote, na nimesoma pia amepelekwa ligi daraja D ambapo naona kama yuko ktk.majaribio na timu moja hivi
Mbona hii ya miaka miwili iliyopita, jamaa zilipendwa siku nyingi tuu mbona.
 
Back
Top Bottom