Salehe Jembe: Viongozi Yanga wanaumia Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR

Salehe Jembe: Viongozi Yanga wanaumia Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda 👌👌👌👌
 
atakuw ni mwigulu huyo
nb

46C54BCA-2C89-4BC3-91B1-05C61BC5C4EB.jpeg
 
Simba ni km maji lazima tu utayatumia ww waache watajikuta wanapata mimba za bila baba maana wanaumia ndani kwa ndani.
 
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda 👌👌👌👌
Wivu mbaya Wakubari tu Simba si Level yao hao
 
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Ujinga mtupu,kwani wakitumia hiyo VAR ndio wanapata jela au wanakuwat mabingwa wa Tanzania au Africa?
Kwani hizo VAR zinanunuliwa na Simba?
 
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Ukishajua ili jembe lifanye kazi lazima lichomekwe mpini, basi hautajisumbua na huyu jembe wako.
 
Unajua hv vitu vinashadadiwa na Simba fans, Hv Mashabiki wa Yanga wanaanzia wapi huo wivu, labda kama hizo VAR zingekuwa ni za Simba Ila ni vitu vinavyokuja nchini na kuondoka..!! Jana nilikuwa huko mjini nimekuta Mashabiki wa Simba wanajigamba sana kuhusu hili utadhani kama wameshinda hyo match.. nikawaambia "mnachotakiwa kufanya ni kuisapoti club yenu ishinde Hilo ndo Jambo la msingi na sio mambo ya VAR, kwanza hii VAR inakuja kuwaweka hatarini na haya magoli yenu ya Offside yaliyozoeleka Kwenye baadhi ya match"
 
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Ila mbumbumbu fc ndio waliokuwa wakimtukana na kumpinga Mwigulu aliposema serekali italeta VAR. Ila nimegundua kwamba hampo tayari ligi yetu kuwa na VAR. Kwani mtashindwa kufanya chupri chupri. Ila kwa upande wa CAF hamna shida kwani VAR haitumiki kwenye vyumba vya kubadilishia

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
😀😀 nyie vifurahieni eti kuwa wa kwanza kutumia VAR afu mfungwe ndio tuone hiyo VAR kama ni kombe!!.

Simba imeleta VAR? Nchi Ina watu wa hovyo!.
 
Ila mbumbumbu fc ndio waliokuwa wakimtukana na kumpinga Mwigulu aliposema serekali italeta VAR. Ila nimegundua kwamba hampo tayari ligi yetu kuwa na VAR. Kwani mtashindwa kufanya chupri chupri. Ila kwa upande wa CAF hamna shida kwani VAR haitumiki kwenye vyumba vya kubadilishia

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
pole sana

EBD485C7-230A-4C5B-89F6-7648BAC98AE9.jpeg
 
historia pia moja wapo kwa Simba kama club kwa mara ya kwanza kwenye mechi yake ya kimataifa ndani robo fainali kuwekewa VAR.

Simba ni kiongozi kwa mazuri yote kwenye soka letu tangia kitambo huko.
mzee Muchacho anajua.
 
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
Kwani hiyo VAR itatumiwa na wachezaji wa Simba na benchi lao la ufundi au itatumiwa na waamuzi na wasaidizi wao kuangalia matukio yenye utata?
Maana sijaona cha kushambulia hapo.
Ni sawa na watoto kushangilia ndege inayopita angani. "Ndege iyo,ndege iyo,ndege ya baba, ndege ya baba"
RAGE, RAGE, RAGE. Mungu anakuona.
 
Umechachamaa sama kuanzisha threads
Hii ni hoja, nayo tunapaswa kuijadili? Ndio swali nimekuwa nikijiuliza, lakini kutokana na MIOYO YA WIVU hasi, nimelazimika kuingia kuijadili, nasikitika.

Hoja ya VAR, wako ambao hawataki kusikia haya…
@ Simba ikitajwa kuwa ya kwanza kutumia VAR au VAR kutumika kwa mara ya kwanza na Simba
@VAR kuletwa mara ya kwanza nchini sababu ya Simba
@VAR kutumika kwa Mkapa kwa mara ya kwanza kwa sababu ya Simba

Inashangaza sana kuona hata baadhi ya viongozi wa klabu eti nao wakipambana na hili, ajabu zaidi kila anayesema kuwa VAR ni mara ya kwanza sababu ya Simba, anafanywa kuwa hajui, anatia aibu, anavishwa rundo la majina na kutaka kudhalilishwa!

Binafsi naona ni ukosefu wa WIVU CHANYA, wengi wanauita wivu wa maendeleo. Hili jambo ni FACT, kupingana nalo ni kupoteza muda na wala hakuna mjadala na sote tunajua, misimu miwili nyumba Simba imekwenda robo fainali Caf CL lakini hakukuwa na VAR, leo wameingia robo ya Caf CC, kuna VAR kuanzia robo fainali.

Swali, bila Simba kufika hatua hii, vipi VAR ingekuja Tanzania? Sasa hapa nani kaenda robo fainali au timu gani ya Tanzania iko robo fainali au Orlando Pirates ya Afrika Kusini itacheza na nani na VAR ikitumika kwa Mkapa, Namungo, Geita Gold?

Nafikiri wakati mwingine tunfanye mambo ya msingi na jambo zuri, mfano ukitaka kufanikiwa, basi kubali maendeleo ya mwenzako. Wivu kuona sawa lakini uwe wenye tamaa nawe ufanye vizuri si KUPINGA kila zuri la mwenzako wakati HUJALIFIKIA....

Unaona kabisa huyu ana mafanikio kuliko mimi, lakini ajabu mwingine anakuaminisha tofauti na wewe unaamua kuachana na kuamini kile ambacho unaona na kukipitisha kwenye ubongo na kupata majibu sahihi, halafu UNAJIFURAHISHA kwa KUMUAMINI YULE ALIYEWAZA KIWIVU HASI….Usikubali.

My Take
Wivu ni kidonda [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
 
Back
Top Bottom