Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Shida ya Kaburu ni ile tabia ya kuuza mechi, na rafiki yake Aveva. Kassim ni shida sana, kaitafuna sana Simba kwa lile jengo la pembeni pale.

Wakati wake wa mkataba wa jezi alikuwa anawapa Simba kati ya miliono 250 hadi 400 tu kwa msimu mzima. Anasingizia piracy kila siku.

Ova
 
Kaburu hajawahi kuuza mechi Ila kasim ana tuhuma hizo na ndiyo sababu alikosana na marehemu Sianga
 
Ukweli mchungu huu
 

Kama Mo atarudishiwa pesa zake na yeye arudishe pesa ambazo amekuwa akibenefits na SSC pamoja na matangazo yake
 
Hahahahah,sasa try again kawekwa pale na mo,afu yeye apambane kumtoa mo.??dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…