Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Moise Katumbi hawezi kujitoa MazembeUkisikia yule tajiri wa mazembe amejitoa hivi majuzi kumiliki tp. Basi utajua uelekeo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moise Katumbi hawezi kujitoa MazembeUkisikia yule tajiri wa mazembe amejitoa hivi majuzi kumiliki tp. Basi utajua uelekeo wake.
Kama MO atacheza utakuwa upo sahihi mkuuUsanii upi sasa? Mo amejipanga na kuna uwezekano mkubwa Yanga wakapoteza mechi ya Jumamosi.
Basi ndio ametoka fatiliaMoise Katumbi hawezi kujitoa Mazembe
Nenda daraja la kwanza utazikuta zipo kibao kama nne za jwtzNi kweli sheria na kanuni haziruhusu mtu au tasisi moja kumiliki timu
simba hawajawahi kufanya makosa ya namna hyo, rejea nyuma ya hizi timu kubwa mbili utaelewa nnachokiongea mkuuuTry again amesha jiuzuru nyazifa alizonazo simba na mwanamama amerudi
Nazani kikao kilicho fanyika ktk ofisi za mo kilieleza haya
Alipost pia ktk IG yake
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa lakini... una weza jirizisha pia kupitia IG ya muwekezaji
Hakuna suala kama hilo Mkuu, Try Again bado ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba.Try again amesha jiuzuru nyazifa alizonazo simba na mwanamama amerudi
Nazani kikao kilicho fanyika ktk ofisi za mo kilieleza haya
Alipost pia ktk IG yake
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa lakini... una weza jirizisha pia kupitia IG ya muwekezaji
Mi najua hapo ulipo moyo unakudunda ukiiwaza derby na fungu aliloliahidi Mo😃😃Mshindwe!
Hahahahaha..tena jwtz ndio wanaongoza kuwa na timu nyingi nchini..mie nadhani huko fifa kuna baadhi ya vitu wametuachia tuvifanyeNenda daraja la kwanza utazikuta zipo kibao kama nne za jwtz
Nenda ligi kuu kuna geita kuna kcmc nk hii tamisemi
Labda sisi tuna fifa ya peke yetu
Katoka lini maana juzi alikuwa Angola,Mazembe akimfunga Petro ktk cafcl na kabla ya mechi aliahidi bonus ya dola elf 10Basi ndio ametoka fatilia
Sio nia pekee Mkuu, mipango thabiti imeshasukwa na wamefikia pazuri.Hili halipingiki ila
SSB tayari ana Azam FC
Lakini kama ni kweli ameweka nia ya kuwepo simba basi kuna mpango anao wa kukwepa hicho kikwazo cha umiliki wa Azam Fc
Kwa mara ya kwanza naomba timu yangu ifungwe ili ilete chachu ya mabadiliko maana tukishinda hapa tena lawama robo fainali ijayo kama tutafika😁👍🏽
Umesema vyema Mkuu.Mmiliki wa Azam ni mtoto
Miliki wa simba muwekezaji ni baba (kama atakuwa) sizani kama kuna shida
Ni kama umiliki wa timu za taasisi
Timu za jkt
Timu za jwtz huko daraja la kwanza zimejaa
Timu za polisi zipo polisi dom, polisi moro, polisi dsm
Magereza pia wanazo mikoani kama magereza musoma
Timu za halmashauri kama ilivyokuwa timu za kurugenzi (wakurugenzi wa halmashauri)
Timu za ujenzi
Timu za shirika moja la relic Yani reli kigoma, reli morogoro
Nazani kwetu ni kawaida
Pia ndg kumiliki timu ni jambo la kawaida, pale Congo dr kuna Katumbi na ndg yake wana miliki timu na zipo Ligi kuu
Salzburg RB, RB reipzig na RB zingine ni mifano ya umiliki wa taasisi moja au shabihishi
Usiamini maneno ya mfanyabiashara Mkuu, akiona fursa katu hawezi kuacha kuitumia.Bakheresa kipindi akiwa muhasibu wa timu si alisema hatowahi kurudi Simba kimetokea nini tena 🤔🤔 hapo ni vita ya pesa tuu sisi mashabiki hatuna chaguo yeyote sawa tuu
Ni kweli ulisemalo, ngoja tuone mambo yatachukua sura gani baada ya mechi. Will it be MO or Try Again and his associates?😀Mkuu baada ya kupewa hii taarifa jana nilichanganyikiwa, mpira wetu umejaa fitna nyingi sana nje ya uwanja.
Kampuni ni moja fahamu ilo ni swala la FIFA sio TFFMmiliki wa Azam ni mtoto
Miliki wa simba muwekezaji ni baba (kama atakuwa) sizani kama kuna shida
Ni kama umiliki wa timu za taasisi
Timu za jkt
Timu za jwtz huko daraja la kwanza zimejaa
Timu za polisi zipo polisi dom, polisi moro, polisi dsm
Magereza pia wanazo mikoani kama magereza musoma
Timu za halmashauri kama ilivyokuwa timu za kurugenzi (wakurugenzi wa halmashauri)
Timu za ujenzi
Timu za shirika moja la relic Yani reli kigoma, reli morogoro
Nazani kwetu ni kawaida
Pia ndg kumiliki timu ni jambo la kawaida, pale Congo dr kuna Katumbi na ndg yake wana miliki timu na zipo Ligi kuu
Salzburg RB, RB reipzig na RB zingine ni mifano ya umiliki wa taasisi moja au shabihishi
Nipo kuonyesha dharau kwa wanaoamini propaganda za kitoto, ili wajue utoto wao wa kuamini mambo ya hovyoSasa wewe mwenye akili kubwa unafanya nini kwenye propaganda za kitoto Mkuu?
Ila kama kweli mambo yanaenda hivyo naanza kuamini kuwa kiwango kinachooneshwa na timu ya simba kuna kitu nyuma ya pazia aidha Simba apambane na kundi la nyati au atumie mbinu za kimedani kupata anacholenga.Mkuu baada ya kupewa hii taarifa jana nilichanganyikiwa, mpira wetu umejaa fitna nyingi sana nje ya uwanja.
Mafanikio ya mpira hayahitaji tu ela bali watu wenye akili na upeoUsiamini maneno ya mfanyabiashara Mkuu, akiona fursa katu hawezi kuacha kuitumia.
Simba ni taasisi kubwa, hakuna tajiri anayeweza kuchezea fursa ya kuwekeza pale.