Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Sio nia pekee Mkuu, mipango thabiti imeshasukwa na wamefikia pazuri.

Hii vita yenu inatunufaisha sisi, team Try Again wanataka Yanga washinde ili wampoteze Mo kabisa huku Mo nae anataka Simba ishinde ili awapoteze Try Again na genge lake.

Sio mchezo!
Kama hii taarifa ni ya kweli basi Simba hata sare hawawezi kupata, mechi ya derby ni lazima wote muwe kitu kimoja.

Ndio maana nimeona yule Albino ameanza kutamba Simba wakiambulia hata Sare wachinje ngamia.

Narudia kama hizi ni taarifa za kweli basi subiri kushuhudia bakora baada ya mechi ya tarehe 20.
 
Kinadharia, try tena anamuwakilisha Mo kwenye Board na Magungu anawakilisha wanachama so unataka utuambue jaribu tena anataka chukua hisa za MOOO ili amuuzie SSB.?? Juris ignoncia non execusanri
Ukituliza akili maswali yanaongezeka, Try again amewekwa na Mo Dewji, kama anamuhujumu si anamtimuwa Tu over night?

Why anamuacha na Kwa maslahi ya Nani?
 
Kama hii taarifa ni ya kweli basi Simba hata sare hawawezi kupata, mechi ya derby ni lazima wote muwe kitu kimoja.

Ndio maana nimeona yule Albino ameanza kutamba Simba wakiambulia hata Sare wachinje ngamia.

Narudia kama hizi ni taarifa za kweli basi subiri kushuhudia bakora baada ya mechi ya tarehe 20.
Nakuhakikishia, taarifa ni za kweli 100%
Tusubiri matokeo yataleta nini Msimbazi.
 
Ukituliza akili maswali yanaongezeka, Try again amewekwa na Mo Dewji, kama anamuhujumu si anamtimuwa Tu over night?

Why anamuacha na Kwa maslahi ya Nani?
Mo sio mjinga, Try Again ana ‘nguvu’ kubwa nyuma yake.
Ukiona mpaka anahaha kwa kuleta siasa kwenye mechi ujue hali ni mbaya kwake.

Kuna kitu cha msingi sana mnashindwa kukizingatia, haya yote yameletwa na agizo la serikali la kuanza upya kwa mchakato wa uwekezaji Simba.
 
Mo sio mjinga, Try Again ana ‘nguvu’ kubwa nyuma yake.
Ukiona mpaka anahaha kwa kuleta siasa kwenye mechi ujue hali ni mbaya kwake.

Kuna kitu cha msingi sana mnashindwa kukizingatia, haya yote yameletwa na agizo la serikali la kuanza upya kwa mchakato wa uwekezaji Simba.
Mimi naelewa kuliko unavyoelewa wewe, Simba na Yanga ni timu za serikali, kama wenye timu hawamtaki tena Mo Dewji anaondoka bila shida.

GSM anacheza smart na serikali, anapiga biashara zake na anahudumia timu na hana kelele.

Huyu tajiri mpenda kick Mohammed huenda hata serikali wamemchoka sasa.
 
Nakuhakikishia, taarifa ni za kweli 100%
Tusubiri matokeo yataleta nini Msimbazi.
Nifah kama nifah. Hilo la kujipanga Simba ishinde Jumamosi unawezekana ndio hilo wanalosema wachambuzi wetu kuwa wamehonga wachezaji wa Yanga wacheze chini ya Kiwango ili Simba ishinde na arudishe mioyo ya mashabiki wa Simba.
 
Nifah kama nifah. Hilo la kujipanga Simba ishinde Jumamosi unawezekana ndio hilo wanalosema wachambuzi wetu kuwa wamehonga wachezaji wa Yanga wacheze chini ya Kiwango ili Simba ishinde na arudishe mioyo ya mashabiki wa Simba.
Naam, Kanjibai kaweka hela ndefu kufanikisha hilo.
Ngoja tuone itakuwaje.
 
Hapana Mkuu, hii sio propaganda ni habari ya ukweli kabisa.
Na huyo mtu ambaye ni chanzo changu ni mwanachama hai wa Simba mwenye access na taarifa za ‘ndani’ huko kwenye klabu yao.
Kama habari hii ina ukweli simba anaeenda kula hamsa upya kwa sababu yanga watauziwa ramani na simba kuwa tumeloga hivi yanga wanapindua meza
 
Kama habari hii ina ukweli simba anaeenda kula hamsa upya kwa sababu yanga watauziwa ramani na simba kuwa tumeloga hivi yanga wanapindua meza
Kwenye hizo pande mbili zinazosigana moja itaisaidia Yanga maana Simba ikishinda wanafungasha virago.
 
Kwenye hizo pande mbili zinazosigana moja itaisaidia Yanga maana Simba ikishinda wanafungasha virago.
Simba kufungwa kupo pale pale kwa sababu mategemeo ya ubigwa hayapo so wachezaji wakuwategemea sidhani kama wengi msimu umao wana mpango wa kubaki Simba so rushwa watachukua tu maana Simba ubabaishaji mwingi
 
Yani wewe ndio Ziro kabisa, Sandaland yuko pale kwa ajili ya wajinga kama nyie wajanja ndio wametia mpunga.

Kuna boss mkubwa TFF na familia ya GSM, nimekupa taarifa nyeti bure kabisa.
Tatizo Manara alishasema Wenye akili Yanga ni wawili
Kuhusu jezi Simba Hana mamlaka nazo kwa sasa maana tayar alishaingia Mkataba na Sandaland hata kama kuna watu nyuma ya Sandaland hilo haihusiki cha msingi walishaweka pesa mbona hujasema kuhusu Uto wanaopata 1300 kwa kila jezi?
 
Simba kufungwa kupo pale pale kwa sababu mategemeo ya ubigwa hayapo so wachezaji wakuwategemea sidhani kama wengi msimu umao wana mpango wa kubaki Simba so rushwa watachukua tu maana Simba ubabaishaji mwingi
Lakini Mkuu usidharau pia dhamira ya Mo, kumbuka hii michezo anaijua vyema sana.
Sio vyema kuwa na uhakika wa ushindi moja kwa moja.
 
Ila sio wamiliki wa Yanga ni tofauti na
Bakheresa ana miliki azam ni timu yake
Hivi unafahamu mzee Kilomoni anatambulika Kama mdhamini wa Simba na ndiye mwenye hati za jengo. Mwigulu kwa nafasi yake yanga Kama anahatarisha maslahi ya yanga inabidi wamwondoe, Kama alitaka kumiliki timu alipaswa ajitoe yanga kwanza.
 
Lakini Mkuu usidharau pia dhamira ya Mo, kumbuka hii michezo anaijua vyema sana.
Sio vyema kuwa na uhakika wa ushindi moja kwa moja.
Tuonane juma pili asubuhi kwenye supu pale jangwani Mo hawawezi watoto wa mjini GSM yani shabalaa akatae pesa tangu lini na pale ndio njia maize atakuwa anateleza tu na hawawezi muanzishia benchi
 
Anayeiua Azam ni mwanae, ndio maana kaamua kuiacha.
Ila kama akikabidhiwa SSC Yanga hatutokaa tulale usingizi, itakuwa balaa.
Nguvu ya Yanga ipo kwa mashabiki na wapenzi wa timu, nguvu ya Simba ipo kwa boss. Miaka michache ya nyuma Yanga ktk dhiki alipambana akabaki top 2, ule upepo angepita Simba angekuwa 4 au 5 huko.

Ni kweli SSB ataleta ushindani mkubwa sana ila bado atakutana na kigingi cha wananchi kwa uzito.
 
Taarifa hizi nilizisikia miezi miwili iliyopita, kile kikao kilifanya kinyume na maagizo ya serikali ambayo yalitaka Simba irekebishe katiba yake maana hii iliyopo imempa mo madaraka makubwa.
Katikat kile kikao Kuna fujo zilitokea, Ila waandishi walipewa bahasha hawakuripoti.
Ukiona waandishi wanaanza kusema ukweli kuhusu utapeli wa mo ujue Kuna nguvu kubwa nyuma yake maana mo ni mjanjajanja anajua namna ya kucheza na waandishi.
 
Back
Top Bottom