Tetesi: Salim Abdallah ‘Try Again’ katika jaribio la kumng’oa Mo Dewj Simba!

Mdhamini nayezungumzia sio Kama gsm. Mwigulu ana cheo yanga wakati huo huo ni mmiliki wa timu nyingine.
Yeye ndio anasimamia Mali za yanga unategemea kutakuwa na haki yanga ikicheza na Singida black star?
Ana cheo kipi
Sababu wenye vyeo ni wakin engineer, alikamwe, arafati na wengineo mwigulu hayupo

Mwigulu hasimamii mali za Yanga ni uongo yule ni mwanachama tu ambaye hakatazwi kumiliki timu nyingine ni kama wewe kuwa mwanachama wa simba hukatazwi kumiliki timu nyingine

Azam ile timu ni ya bakheresa ila msimamizi wa mambo ya timu ni mtoto wake
 
Kinadharia, try tena anamuwakilisha Mo kwenye Board na Magungu anawakilisha wanachama so unataka utuambue jaribu tena anataka chukua hisa za MOOO ili amuuzie SSB.?? Juris ignoncia non execusanri
 
Hapana Mkuu, hii sio propaganda ni habari ya ukweli kabisa.
Na huyo mtu ambaye ni chanzo changu ni mwanachama hai wa Simba mwenye access na taarifa za ‘ndani’ huko kwenye klabu yao.
Hii ya mchakato kuanza upya mbona kimya kimya sana au ni habari za ndani kwa ndani?
 
Kinadharia, try tena anamuwakilisha Mo kwenye Board na Magungu anawakilisha wanachama so unataka utuambue jaribu tena anataka chukua hisa za MOOO ili amuuzie SSB.?? Juris ignoncia non execusanri
Ni siasa na uongo
Try again ameweka na mo na lisema yeye yuko bize na ana mambo mengi kwa hiyo akamchagua try again
 
Ana cheo kipi
Sababu wenye vyeo ni wakin engineer, alikamwe, arafi na wengineo mwigulu hayupo

Mwigulu hasimamii mali za Yanga ni uongo yule ni mwanachama tu ambaye hakatazwi kumiliki timu nyingine
Unafahamu wajumbe wa baraza la wadhamini yanga na kazi zako

Wako watano Mwigulu akiwemo wengineno Tarimba, Mkuchika, Mama Karume wa mwisho simkumbuki somebody Mwambie.
Unajua kazi zao, ni kusimamia Mali za yanga.
 
Ali Kamwe ana cheo gani?
 
Kampuni ni moja fahamu ilo ni swala la FIFA sio TFF
Kuna nafasi bado ya uwekezaji ambao haupo moja kwa moja ktk maamuzi ktk asilimia kadhaa

Hii ina ruhusiwa na fifa

Pia kuna nafasi ya kubadili umiliki wa timu moja kwenda kwa mwingine ambaye ni familia yako kama Singida FS na Singida BS na Yanga

Au Yanga na matawi yake
 
Ila kama kweli mambo yanaenda hivyo naanza kuamini kuwa kiwango kinachooneshwa na timu ya simba kuna kitu nyuma ya pazia aidha Simba apambane na kundi la nyati au atumie mbinu za kimedani kupata anacholenga.
Hao mabwana wamefikia pabaya sana, mpaka wanahujumu timu ili mmojawapo aonekane kushindwa!
 
Mafanikio ya mpira hayahitaji tu ela bali watu wenye akili na upeo
Tatizo la simba sio mo pekee yake hata hao wakina try again ni hopeless

Hata aje bakheresa as long try again, mangungu wapo hakuna kitakachobadilika
Kwahiyo ni bora abaki Mo ila waje akina Barbara, Rweyemamu na Nkwabi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…