Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahhaha Noma Sana Muda UtaongeaAmbacho kikiniambia kesho nitakufa naanza kutubu kabisa [emoji23][emoji23]
We endelea kutukana tu maana hoja yako si matusi na uzuri ukitukana mods wanafuta matusi yako wewe shabiki Lia Lia kutoka makolo fc 😂😁[emoji706]
Kwa namna issue ilivyo jaribu tena si maji mara 1 anataka kumwambia energy kuwa haijarishi unamatawi mengi ila maharagwe ya mbeya na mwanza kuiva ni mpka maji x7 hapo naona kabisa mkutano mkuu unaitwa wanakwenda kumsurubu energy!Kwahiyo hii movie ndio inaishia ishia au ndio kwanza inaanza na upya? Kama Try again atakubali kujiuzulu basi bila shaka kasalimu amri. Kwako mleta uzi vipi unavyoona kuna dalili yoyote ya Salim Mhene kubadilisha jina na kuwa Salim amri?
Nachelea kusema chochote hadi nipate taarifa za uhakika.Kwahiyo hii movie ndio inaishia ishia au ndio kwanza inaanza na upya? Kama Try again atakubali kujiuzulu basi bila shaka kasalimu amri. Kwako mleta uzi vipi unavyoona kuna dalili yoyote ya Salim Mhene kubadilisha jina na kuwa Salim amri?
Endelea kubishi hadi ufeHii habari yako haina uhuusiano wala havishabiani na hiki kinachoendelea,
Usikute wewe ni asha blessingChanzo changu ni kimoja tu, kwa kweli nakiheshimu sana.
Kabisa na bado nakuamini, hali halisi ipo na inaonekana bila kificho, na tukifanya mchezo tutalia na kusaga meno maana viongozi wanajaza matumbo yao tu hawajui uchungu tulio nao washabiki.Wewe uliniamini moja kwa moja, hukutilia shaka.
Hahahahaha mie najua hilo maana niko naoTatizo watu wabishi sana Mkuu.
Kipindi cha uchaguzi wao..nilikua timu ushindi wa fulani na moja ya mikakati ni kumkataa mhindi ...ingawa uchaguzi ule timu ile haikushinda ila vita vilikua ndio vinaanza na ushindi ni lzm naona sasa wanaenda kushindaTatizo watu wabishi sana Mkuu.
Kwa sasa hivi sijafuatilia kiundani hilo saga, kwa hiyo Muhindi anapigwa chini? Mbona juzi kachachamaa?Kipindi cha uchaguzi wao..nilikua timu ushindi wa fulani na moja ya mikakati ni kumkataa mhindi ...ingawa uchaguzi ule timu ile haikushinda ila vita vilikua ndio vinaanza na ushindi ni lzm naona sasa wanaenda kushinda