GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ushamba wa salim ni nini? Kwahiyo ujanja wako wewe ni nyuma ya keyboard?Jamaa ni mshamba sana..labda wasio mjua salim..hii ni Tz
DohMtoa mada ni " asset " kubwa sana kwa wajanja wa mjini. Hakuna asset kubwa kwa wajanja wa mjini kama uwepo wa washamba, mafala na wajinga jinga. Ukiwa fala mshamba na/au mjinga mjinga basi jua wewe ni asset kubwa sana kwa wajanja...
Hongera mtoa mada. Wewe ni asset kubwa sana.
Uchokozi😁Mtoa mada ni " asset " kubwa sana kwa wajanja wa mjini. Hakuna asset kubwa kwa wajanja wa mjini kama uwepo wa washamba, mafala na wajinga jinga. Ukiwa fala mshamba na/au mjinga mjinga basi jua wewe ni asset kubwa sana kwa wajanja...
Hongera mtoa mada. Wewe ni asset kubwa sana.
nasuburi ngumiUchokozi😁
Genta sorry unaonekana una chuki binafsi na Salum Kike sijui alikuchukulia demu wako tafuta pesa Baba Salum hakusu na kitu unapo zidi kumpaka ndio unazidi kumpa umashuhuri toka Salum ni mashuri ,wacha ushamba wako hebu eleza nini kakufanya au kakukosea Salum blaa blaa nyingi unamfuatilia mwanamme mwenzako kama shoga khaa.Na nasikia kumbe Walikudanganya kuwa kwakuwa Mteuwaji Mkuu ni Muislamu basi nawe Muislamu Mwenzake hatouacha na atakuteua na haijawa.
Na Mmoja wa Watu waliokudanganya yuko Wizara ya Utalii ( ila siyo Waziri ) japo ni Mtu wa Mfumo ( System ) na Wengineo Wanne ( Mmoja akiwa ni Mwanamke ) walikuaminisha kuwa Wanammudu Mama na Utateuliwa Wewe hiyo Nafasi matokeo yake Kateuliwa Poti ( Mwana Mkoa wa Mara ) Mwenzangu MM kuwa hapo na Kazi inaendelea.
Pole sana japo najua utaelekea Majizo Media ambako Ulitega kama huku Magogoni na Chamwino ukikosa basi utaungana na Boss Shemeji yetu Elizabeth Michael (alias) Lulu na akina Panjuani Wao pale Mbezi Beach ( White House )
Sawa Mrs. Kikeke.Gen
Genta sorry unaonekana una chuki binafsi na Salum Kike sijui alikuchukulia demu wako tafuta pesa Baba Salum hakusu na kitu unapo zidi kumpaka ndio unazidi kumpa umashuhuri toka Salum ni mashuri ,wacha ushamba wako hebu eleza nini kakufanya au kakukosea Salum blaa blaa nyingi unamfuatilia mwanamme mwenzako kama shoga khaa.
Kuna mtu alikua anasema umekeketwa tunambishiaSawa Mrs. Kikeke.
Kama Mamaako.Kuna mtu alikua anasema umekeketwa tunambishia
Hongera saaana sema hizo mambo zishapitwa na wakati. Kuna FISTULA ujue??Kama Mamaako.
Aliyekuzaa kapona lini?Hongera saaana sema hizo mambo zishapitwa na wakati. Kuna FISTULA ujue??