GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na nasikia kumbe Walikudanganya kuwa kwakuwa Mteuwaji Mkuu ni Muislamu basi nawe Muislamu Mwenzake hatouacha na atakuteua na haijawa.
Na Mmoja wa Watu waliokudanganya yuko Wizara ya Utalii ( ila siyo Waziri ) japo ni Mtu wa Mfumo ( System ) na Wengineo Wanne ( Mmoja akiwa ni Mwanamke ) walikuaminisha kuwa Wanammudu Mama na Utateuliwa Wewe hiyo Nafasi matokeo yake Kateuliwa Poti ( Mwana Mkoa wa Mara ) Mwenzangu MM kuwa hapo na Kazi inaendelea.
Pole sana japo najua utaelekea Majizo Media ambako Ulitega kama huku Magogoni na Chamwino ukikosa basi utaungana na Boss Shemeji yetu Elizabeth Michael (alias) Lulu na akina Panjuani Wao pale Mbezi Beach ( White House )
Na Mmoja wa Watu waliokudanganya yuko Wizara ya Utalii ( ila siyo Waziri ) japo ni Mtu wa Mfumo ( System ) na Wengineo Wanne ( Mmoja akiwa ni Mwanamke ) walikuaminisha kuwa Wanammudu Mama na Utateuliwa Wewe hiyo Nafasi matokeo yake Kateuliwa Poti ( Mwana Mkoa wa Mara ) Mwenzangu MM kuwa hapo na Kazi inaendelea.
Pole sana japo najua utaelekea Majizo Media ambako Ulitega kama huku Magogoni na Chamwino ukikosa basi utaungana na Boss Shemeji yetu Elizabeth Michael (alias) Lulu na akina Panjuani Wao pale Mbezi Beach ( White House )