Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

Salim Kikeke rasmi kwenda Crown TV

Watu tunapaswa kufahamu kuwa kufanya kazi BBC haina maana unalipwa vizuri sana, na kulipwa vizuri ukiwa London bado hakukufanyi kumudu maisha mazuri London kwa maana gharama za maisha ziko juu sana (karibu mara tano ya maisha ya miji ya Tz), na kumudu maisha vizuri London hakukufanyi kuishi kwa furaha, uhuru na amani. Wapo watu wengi sana wanafanya kazi Marekani na Ulaya, wanatamani wangerudi kuishi Tanzania lakini wanashindwa na kuogopa maana ramani za kupata kazi za uhakika na kipato kizuri hapa Tanzania bado ni ngumu, ramani zikiibuka huwa wanarudi.
 
Mwisho watanzania tunapaswa kujifunza kuwa, usisubiri kuzeeka, kuchuja kwa kipaji chako au umri wa kustaafu ukukute kwenye kazi uliyoizoea ndio uanze kufikiria namna bora ya kuachana na muajiri wako au kuachana na kazi inayokupa kipato na umaarufu, ukiweza toroka kabla ya brand yako haijazikwa mazima.
Tujifunze kwa kina Sadio Manne, Christian Ronaldo, Lione Messi au David Beckham, walivyotimka na kuachana na ligi kubwa za Ulaya ili kukimbilia Marekani, Uarabuni nk.

Good dancer leaves the stage while it vibes!
 
kikeke teuzi kwa mama samia ipo pale pale ila asubiri, na wakati anasubiri atafanya kazi popote ila mda wowote atapewa teuzi serikalini ,zuhura yunus kaishi na kikeke Bbc miaka mingi ,leo hii mwenzake ndio yupo karibu na mama unafikiri kikeke akose kazi kweli
 
Bro
Seriously?

Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Bro, kila chenye mwanzo kina mwisho pia. Alishafanya bbc kwa mrefu. He has nothing to prove.
In fact Mimi nampongeza sana. Ametoka BBC akiwa at the pick of his career.
Kwa nchi yetu, tunahitaji ushindani wa kweli, ambapo mnufaika mkuu ni mlaji.
Ni vizuri amsaidie Kiba aweke ushindani kwenye media zetu.

Kila lenye heri braza Salim kwenye huu ukurasa mpya.
 
kikeke teuzi kwa mama samia ipo pale pale ila asubiri, na wakati anasubiri atafanya kazi popote ila mda wowote atapewa teuzi serikalini ,zuhura yunus kaishi na kikeke Bbc miaka mingi ,leo hii mwenzake ndio yupo karibu na mama unafikiri kikeke akose kazi kweli
Teuzi za bongo unataka stress za bure. Atakuwa mwizi ghafla hata heshima yake aliyojijengea miaka mingi, kwa nguvu na jasho, itapotea.
 
Bro, kila chenye mwanzo kina mwisho pia. Alishafanya bbc kwa mrefu. He has nothing to prove.
In fact Mimi nampongeza sana. Ametoka BBC akiwa at the pick of his career.
Kwa nchi yetu, tunahitaji ushindani wa kweli, ambapo mnufaika mkuu ni mlaji.
Ni vizuri amsaidie Kiba aweke ushindani kwenye media zetu.

Kila lenye heri braza Salim kwenye huu ukurasa mpya.
Umesema sahihi Mkuu

Let's wish him good luck at crown media 🙏🙏🙏
 
Hivi nikitaka kuomba kazi crown tv/radio naonana na nani?mwenye uelewa anisaidie, nahitaji kujaribu bahati yangu, mm ni mtangazaji na Nilishawahu kufanya kazi kwenye media kubwa TU hapa Tanzania,.

Mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Au mwenye contact za Salim kikeke anisaidie nimtumie demo zangu please.
 
Hivi nikitaka kuomba kazi crown tv/radio naonana na nani?mwenye uelewa anisaidie, nahitaji kujaribu bahati yangu, mm ni mtangazaji na Nilishawahu kufanya kazi kwenye media kubwa TU hapa Tanzania,.

Mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Au mwenye contact za Salim kikeke anisaidie nimtumie demo zangu please.
Mtafute Aidan meneja wa kiba au Benedict mtu wao wa digital kama upo vizuri watakusaidia.
 
Back
Top Bottom