Sasa ndo hapo walimdanganya na yeye akaaminiHaiwezekani, elimu ya Kikeke ni Certificate ya kilimo. Utangazaji ni kipaji hakusomea huko kama Kiba music ni kipaji.
Sasa mkurugenzi lazima awe na elimu ya kutosha kama Dr. Rioba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndo hapo walimdanganya na yeye akaaminiHaiwezekani, elimu ya Kikeke ni Certificate ya kilimo. Utangazaji ni kipaji hakusomea huko kama Kiba music ni kipaji.
Sasa mkurugenzi lazima awe na elimu ya kutosha kama Dr. Rioba.
Real recognize real mkuu, shukrani.Much respect brother Kwa hizi info
Mamtoni panachosha waungwana.....kama unauhakika wa kuishi vyema...bora nyumbani. 👍Kuna baadhi ya level ukifika hutakiwi kurudi nyuma unless hiyo sababu ya pili kwamba alitaka kurudi kukaa nyumbani rather than kule Ughaibuni
Bongo kuna vituko sana. Mtu alikuwa msoma habari zisizo na uzito BBC eti akija Bongo apewe ukurugenzi wa shirika la habari la nchi au kituo kikubwa cha habari!
Ndio inawezekana, kuna kitu kinaitwa homesick unaweza ingiza pesa nyingi ila ukaishi maisha ya upweke, msongo wa mawazo maana huko nje sio social kama Africa kila mtu na time zake. Hata soccer mara kibao tu wachezaji wa South America wanarudi barani kwao kwa exhaustion ya kuishi nje miaka mingi.Hivi kwa kufikiri hata kidogo tu...mtu unaweza kuacha kazi BBC?!
Wanasema mamtoni shida yake kubwa ni upweke sio kama huku Bongo, Kila mtu unapiga naye stori 🤗Mamtoni panachosha waungwana.....kama unauhakika wa kuishi vyema...bora nyumbani. 👍
Amen 🙏🙏Real recognize real mkuu, shukrani.
Kama kweli ana share na hio Crown media anastahili pongezi.Nilikua natafuta hii comment. Thanks
BBC alikua msomaji tu nothing more to it. Mshahara wa kawaida sana hata yeye alikiri.
Wabongo wanaamini mtu ukiajiriwa BBC huwezi acha kazi hadi ufukuzwe, watu wameacha kazi kwa hiari apple, google, Microsoft ndo sembuse BBC!
Wabongo hawajui kuna partnership kwenye biashara; kama crown TV ya Kiba na Kikeke ni partner ubaya upo wapi?
Unasemaje diamond anatumika kibiashara na kusaga wakati na yeye ana hisa ya 45% ya Wasafi media na pia ndio founder wa hiyo WasafiKule BBC kuna uwezekano alifukuzwa kazi lakini ameamua kusema uwongo kuwa aliacha kazi mwenyewe. Anyway, wakati utaongea.
Hii crown TV inawezekana ni mali yake ila ameamua kumtumia Ali Kiba kama brand ya biashara. Hata Wasafi FM na TV ni mali ya Kusaga ila ameamua kumtumia Diamond kama brand ya bishara kwa sababu ya umaarufu wake.
Diamond ana hisa 45% na pia ndio founder wa Wasafi kiba ana hisa ngapi? Mpaka useme wapo sawaNi kweli.
Mentor ni Kusaga, hata frequency ndie kampa.
Kiba ni kama mondi pale wasafi.
Hili suala la kusema Diamond na Kiba wanatumika kibiashara mnalitoa wapi mnajua maana ya partnership kwenye biashara mondi ana hisa ya 45% ya partnership ya Wasafi it means pesa itayoingiza Wasafi anapata mgawo wa 45% kama hisa yake ilivyo sasa mkuu hiyo ni pesa ndogo?Hii itakuwa ana share kubwa tu anatumia Ally Kiba tu kama brand mbona wasafi Kusaga Ruth ana share asilimia 50 so sio kwamba Salim karudi nyuma kafungua biashara yake.
Mfumo mmoja tu.Diamond ana hisa 45% na pia ndio founder wa Wasafi kiba ana hisa ngapi? Mpaka useme wapo sawa
Maana ya kutumika, ni kwamba umaarufu na majina yao ndio yanatumika kukuza hizo media. Japo wana hisa. Mfano huyo Diamond unajua hizo hisa 45% kazipataje?Hili suala la kusema Diamond na Kiba wanatumika kibiashara mnalitoa wapi mnajua maana ya partnership kwenye biashara mondi ana hisa ya 45% ya partnership ya Wasafi it means pesa itayoingiza Wasafi anapata mgawo wa 45% kama hisa yake ilivyo sasa mkuu hiyo ni pesa ndogo?
Hakuacha kazi BBC,bali katka kubana matumizi BBC ilisitisha mikataba kwa baadhi ya wafanyakazi.Seriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Matanzania mna uwezo mdogo wa kufikiri, una hakika yeye ni mfanyakazi tu pale?Seriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo [emoji119]
Ninaamini aliacha, ulaya kunachosha. Nachowauliza waswahili tuna hakika yeye ni mfanyakazi wa kawaida pale?Hivi kwa kufikiri hata kidogo tu...mtu unaweza kuacha kazi BBC?!
Hapa kulikuwa na kuachishwa kazi ama kustaafu kwa mujibu wa sheria... hayo mawili hapo juu mojawapo lilimkuta salym...
Kuachishwa kazi kwa mtu mwenye hadhi kama yeye... siku zote huitwa MUTUAL AGREEMENT
Ila Kuachishwa kwetu kazi sisi hohehahe kunaitwa TERMINATION!