Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama naye atakuwa ni co-founder basi ana haki ya kufanya kazi kwenye hiyo radio as atakuwa anahisa nayoMbona sio tatizo mkuu as long as analipwa pesa anayoitaka? 50 Cent na udogo wake kumbuka aliwa sign Mobb Deep, sio jambo la kushangaza hata kidogo.
Pia Kikeke ni co founder wa hiyo radio na Tv, angalia bio ya social networks zake ujiridhishe.
Much respect brother Kwa hizi infoNi co - founder pia wa hiyo Crown media.
Hizo ni tetesi tu na maneno ya street lakin hakuna kitu kama hikoJamaa walimdanganya atapewa TBC Ayoub akakomaa hatoki mtu hapa.
Hapo sawa, nilidhani ameacha kazi kule ili aje aajiriwe na Kiba 🙌Kule BBC kuna uwezekano alifukuzwa kazi lakini ameamua kusema uwongo kuwa aliacha kazi mwenyewe. Anyway, wakati utaongea.
Hii crown TV inawezekana ni mali yake ila ameamua kumtumia Ali Kiba kama brand ya biashara. Hata Wasafi FM na TV ni mali ya Kusaga ila ameamua kumtumia Diamond kama brand ya bishara kwa sababu ya umaarufu wake.
...positive comment...i like it...Yeah ni kweli
Na huenda alishafanya analysis kuweza kupima Ukubwa wa maamuzi atakayoyafanya
Sisi kama walaji wa habari, tunasubiria kazi nzuri kutoka kwake
We wish him best of luck 🙏🙏
Ni mkataba uliisha na hawakuona haja ya kuendelea naye, sio mapumziko ama kuchoka mwenyewe.Seriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Absolutely grandchild, let him accomplish his dream 👏🙏...positive comment...i like it...
Let him be
Anaweza kuwa Ana Hisa
Naeza kuelewa hiliLabda ni yake!
OkayNi mkataba uliisha na hawakuona haja ya kuendelea naye, sio mapumziko ama kuchoka mwenyewe.
Shareholder. Anakuza kitegauchumi chakeSeriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Mongolian savage, hapa umepuyanga.Jamaa walimdanganya atapewa TBC Ayoub akakomaa hatoki mtu hapa.
Ni mmiliki wa hiyo crown media.Nami nahisi ilikuwa hivyo japo Kuna Siasa hapa kati zinasema aliandaliwq kuwa mrithi wa Charles Hilal pale Azam ama kuwa mrithi wa Ayoub Ryoba pale TBC
All in all Kwa exposure yake alipaswa awe anamiliki online tv na blogs huku akiwa amewaajiri Vijana kadhaa
Badala yake unakuja kuajiriwa na Alikiba 🙌
Hapo sawa MkuuNi mmiliki wa hiyo crown media.
Kama amefanya hivyo amefanya sahihi, ni aibu Kwa exposure aliyonayo ashindwe hata kufungua online tv kama Mradi wake binafsiShareholder. Anakuza kitegauchumi chake
Ni kweli.Kama amefanya hivyo amefanya sahihi, ni aibu Kwa exposure aliyonayo ashindwe hata kufungua online tv kama Mradi wake binafsi
Haiwezekani, elimu ya Kikeke ni Certificate ya kilimo. Utangazaji ni kipaji hakusomea huko kama Kiba music ni kipaji.Jamaa walimdanganya atapewa TBC Ayoub akakomaa hatoki mtu hapa.
Bora amejiongeza, ni aibu kufanya kazi Ulaya miaka na miaka then uje uajiriwe na akina KibaNi kweli.
Mentor ni Kusaga, hata frequency ndie kampa.
Kiba ni kama mondi pale wasafi.
Kikeke aliomba kuondoka BBC kwa hiyari yake na BBC waligoma then baada ya muda wakamruhusu, kwa maelezo yake yeye mwenyewe maisha ya ulaya yalishamchoshaHivi kwa kufikiri hata kidogo tu...mtu unaweza kuacha kazi BBC?!
Hapa kulikuwa na kuachishwa kazi ama kustaafu kwa mujibu wa sheria... hayo mawili hapo juu mojawapo lilimkuta salym...
Kuachishwa kazi kwa mtu mwenye hadhi kama yeye... siku zote huitwa MUTUAL AGREEMENT
Ila Kuachishwa kwetu kazi sisi hohehahe kunaitwa TERMINATION!