DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Yeah ni kweli
Na huenda alishafanya analysis kuweza kupima Ukubwa wa maamuzi atakayoyafanya
Sisi kama walaji wa habari, tunasubiria kazi nzuri kutoka kwake
We wish him best of luck 🙏🙏
Yes na ktk kufanikiwa unabidi kukubali kuwa starter na sio finisher