P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
hii ni kweli kabisa 👍🏾Anaweza kuwa Ana Hisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni kweli kabisa 👍🏾Anaweza kuwa Ana Hisa
Sio wote wenye uwezo wa kuajiri, wengine tuendeleeni kuajiriwa tuMatanzania mna uwezo mdogo wa kufikiri, una hakika yeye ni mfanyakazi tu pale?
Kumbe alipata redundancy?Hakuacha kazi BBC,bali katka kubana matumizi BBC ilisitisha mikataba kwa baadhi ya wafanyakazi.
Diamond ni owner na pia ni founderMfumo mmoja tu.
Diamond sio founder wa wasafi ni owner. Tafuta kujua tofauti ya founder na owner. Umesema ana hisa 45%
Same applies to Kiba. Sio founder wa Clown media, ni owner.
Kama anafaidika na hiyo media huwezi kusema anatumika? Kutumika maanayake hapati kulingana na namna jina lake lilivyotumikaMaana ya kutumika, ni kwamba umaarufu na majina yao ndio yanatumika kukuza hizo media. Japo wana hisa. Mfano huyo Diamond unajua hizo hisa 45% kazipataje?
Huyu aliacha BBC au mkataba wake uliisha...?Seriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Kuna wadau wanasema alisitishiwa Mkataba (Redundancy) japo wengine pia wanasema aliamua kuacha yeye mwenyeweHuyu aliacha BBC au mkataba wake uliisha...?
Sawa MondKama anafaidika na hiyo media huwezi kusema anatumika? Kutumika maanayake hapati kulingana na namna jina lake lilivyotumika
🤣🤣🤣Diamond ni owner na pia ni founder
Au Wiz Khalifa kumsaini Juicy JMbona sio tatizo mkuu as long as analipwa pesa anayoitaka? 50 Cent na udogo wake kumbuka aliwa sign Mobb Deep, sio jambo la kushangaza hata kidogo.
Pia Kikeke ni co founder wa hiyo radio na Tv, angalia bio ya social networks zake ujiridhishe.
Tunajaribu kuwekana sawaSawa Mond
Mkuu unacheka nini kwani ni uongo?
Najua usichokijua chief ndio maana nakwambia hivyo.Tunajaribu kuwekana sawa
Tuache tu chief, better to know lessMkuu unacheka nini kwani ni uongo?
Ni mambo ya kawaida sana kwenye Music, sema sisi wabongo sio wafuatiliaji na vitu vingi hatuvijui.Au Wiz Khalifa kumsaini Juicy J
wameacha wengi na makao makuu yamehamia kenyaSeriously?
Labda kutoka kwake BBC ilikuwa aje apumzike nyumbani Tanzania otherwise sikuona sababu yake kuacha kazi BBC kisha aje aajiriwe na Alikiba Bongo 🙌
Ila Kenya wanajitahidi sana kwenye kuvutia wawekezaji japo Nchi yao haina Utulivu kama tulionao Tanzania.wameacha wengi na makao makuu yamehamia kenya