Salim nakupenda! Kwanini hukunivumilia na unajua nilikuwa mtoto, ukakimbilia kuoa?

Hujajitaji mume bado
Ungekua na uhitaji kweli
Mngefunga ya bomani
Mana ye karidhia we ndio hutaki
Kuwa mke wa pili hutaki
Ndo mana nakuambi huyo Kijana hujampenda


Subiri waje wanaume waliowahi kupendwa wakueleze
Huwezi kataa mpa penzi mwanaume unampenda for years na bado ndoa hutaki
 
SALIM ananifaa sana yaani ingekuwa ni wa dini yangu ningepiga [emoji3581][emoji3581][emoji3581]

He deserve love
Kijana mzuri Sana namaanisha ana roho nzuri mno ndiyo hivyooo….[emoji849]
basi fanya kukamilisha maana tayari umeshafanya maamuzi lkn kama ni ushauri sisi tumetoa huko mbeleni utajua mwenyewe
 
Wewe ni mtu usiyejielewa,usiyejiamini na usiye na msimamo,watu kama wewe ni ngumu sana kuendelea,

Hakuna ushauri utakaoufuata humu,miaka itaenda na utajikuta huna ndoa,utakuja kutoa ushuhuda hapa JF.
 
Miaka 26 ni binti mdogo kuolewa mke wa pili? Kwa mwanamke hiyo ni miaka mingi sana ngoja afike 30 ndo atajua hajui.

Ataolewa na kibabu cha miaka 60 plus akishafika 30. Hiyo 26 tu bado hawezi kuolewa na kijana wa miaka 30 labda wa kuanzia 35 hadi 50.
Nakubali
 
Wewe ni mtu usiyejielewa,usiyejiamini na usiye na msimamo,watu kama wewe ni ngumu sana kuendelea,

Hakuna ushauri utakaoufuata humu,miaka itaenda na utajikuta huna ndoa,utakuja kutoa ushuhuda hapa JF.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aiseeee

Nipe ushaurii bhn nimekwama kijana mwenzio

Ila umenifanya nicheke kwa nguvu maana umeandika kwa hisia sana
 
Sawa,ngoja tubeti kwanza,tuangalie mkeka wa leo umekaaje.

Tutarudi tukushauri
 
mpaka Salimu anakumbukwa,itakua ashapiga mzigo!
 
Mpe kwanza...usipompa utajuta mbeleni...

Nimeshajuta

Ila suala la kupewa nafikiri tufunge mjadala halipo
Kumpa maana ake nimekubali kuwa bi mdogo


Natamani miaka ingerudi nyuma huenda ningemkubali ningekuwa Bi mkubwa [emoji24][emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…