Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Waambie mkuu naona inawachoma Sana konde kusepa!!!!
 

Mkuu kwanini usimpe muda kabla ya kumuhukumu hataweza hizo kiki?
 
Shida nikwamba mtu hata kama kasaidiwa toka chini,hatakiwi kuhoji chochote kama anadhulumiwa.
 
Sorry hiv inamaana hamjui kinachoendelea Kati ya Kanye west na Jay z mpaka mnamtolea mfano ..au tuko dunia tofauti![emoji51]
 

Acha kujipa uganga ndugu kwani wcb ndo wanaomuimbia anaweza akatoka then akawa msanii mkubwa tu na kufanya yake yote matokeo ata diamond alikua kwenye management tofauti na akafanikiwa so hata yeye anapenda mafanikio makubwa pia
 
Teh ... [emoji28]
 
Sa hivi ni team mondi vs team hamo

Kiba hapendi show off za matimu
 
Dah ila mondi ana kipaji cha kuimba mkuu

Huyu mmakonde ana miaka mingapi kwenye gemu tuanzie hapo

Mondi toka 2008 nadhan

Hajawahi shuka
 
Hiyo skylight band imefika level ya kimataifa? Huyo Seba kamfikisha msanii gani level ya kimataifa? Harmonize alikua amefika level ya kimataifa so tunategemea awe juu zaidi ya hapo, na hilo ndo tunalosubili.
Kabla ya Diamond mkubwa Fela na Salam waliwahi kumfikisha msanii gani level ya kimataifa??
 
Kabla ya Diamond mkubwa Fela na Salam waliwahi kumfikisha msanii gani level ya kimataifa??
Sallam alimfikisha AY level za juu mpaka kuwa msanii wa kwanza kupiga show MTV MAMA na kufanya collabo na wasanii kama Sean King stone,Psquare nk.
Sallam vilevile ni middle man kitambo na kama hujui yy ndio anaye meneji kazi zote za Wizkid EA na Sunday meneja wa Wizkid ana meneji kazi za Diamond West Africa,ili wasiingizwe mkenge na mapromota feki.
 
Dua la kuku........... kwani mtu akikua c anaondoka kwa wazazi wake mbona mmemuwekea kinyongo au lebo ndo inamtegemea yeye akiondoka kuna mkwaja utakata???
Kwa waliobaki wcb , hakuna tena mwenye uwezo wa kutunga nyimbo zenye ujumbe wa kugusa na kukonga nyoyo za wasikilizaji kama Harmonize.
 
Dah ila mondi ana kipaji cha kuimba mkuu

Huyu mmakonde ana miaka mingapi kwenye gemu tuanzie hapo

Mondi toka 2008 nadhan

Hajawahi shuka
Nime assume tu Harmonize akanilazimisha kua ana kipaji kuliko Mondi..sitom bishia ila kwasasa hivi mi akili yangu nafsi na roho inaelewa Hrmonize hamuwezi Mondi kwa chochote si Kipaji wala Kiki..Mondi ni level zingine akubali akatae.

Kuwa non stop masikion mwa watu from 2008 sio mchezo hata kama ni uchawi bhasi huo uchawi utakua wa Newyork
 
Huoni haibu kuleta story za kutunga na ujuaji mbele ya watu waliokuzidi umri na maarifa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…