Sallam Sk amuepushia shari Ruge baada ya Kusaga kuingilia kati. Asema 'Tumekataa kuwa kaa''

Ushahama kwenye mada naona unaongelea kitu ambacho huna ushahidi siwezi kishiriki mkuu ahsante kwa mda wako pia mana aisifiaye mvua kaka na umesema mwenyewe ruge anashika makalio haya bhana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahahahhaaaaa yani hata mimi nimemsoma nimeshindwa kumuelewa hayo yote yametoka wapi
 
Jide na sugu waliomba lini msamaha
 


Maneno haya hayakuwa mepesi kama mlivo ya chukulia kila la kheri naseeb nitamkumbuka diamond tu [emoji91]
 

Acha uongo wewe sugu hakuwahi kuandika barua ya kuomba msamaha wazir wa habar sanaa utamadun na michezo simkumbuki Jina aliwapatanisha labda ruby kafanya hayo na vinega
 
Iyobo kashindwa kupambana na tatizo lake Kalisukumia kwa wasafi nae sallam kalibeba kichwa kichwa bila kutumia akili wao kila kitu wanahis kuangushwa hata wakifanya maovi kama ya iyobo ile ni kesi haina conection na kampun alitakiwa apambane na shilawadu jina linatumika vibaya..
 
Kwani wasanii lazima mpeleke Nyimbo zenu clouds media .???? ruge na mwenzie wataendelea kuwaburuza waswahili sababu wanamfuata wenyewe Ruge ataendelea kua King milele maana wanasema anawanyonya halafu kutwa wapo pale Poleni sana.
 
Kumfanyia mtu wema isiwe fimbo ya kumchapia Kwa sababu zako binafsi

Kweli Ruge kasaidia wengi, Lakini Ni Kwa sababu aliwekeza mirija yake Ya kunyonya utamu wa hao watu na alipowachoka aliwabwaga Kwa dharau.

Wanapokuja kulalamika kuhusu unyonyaji wanaonekana wanaikosea clouds,, kweli Ruge ni ana roho mbaya kuliko mtu yeyote wa media ila anafunikwa na mablanketi Ya fursa anazozungumzia Daily,,

Kiukweli tabia ni kama ngozi haiwez kubadilika,, Ruge hawez kubadilika yeye ni mpiga hela haangalii sura Ya mtu wala kuihurumia tasnia.

Wako wapi wakina mandojo, alifaidika nini gwea na wengine wengi????
 
Jamaa washajua watanzania wanashinda ktk mitandao, so ni platform nzuri kutengeneza bifu ili wabongo wawazunguze. Kibiashara its good idear!
 
may b sifaham ila niulize tu hiv clouds media group inamilikiwa na mtu mmoja au ni zaid ya mmoja ambapo kila mtu anahisa zake!?
Kuna ruge na kusaga wote n watu wawili wenye nguvu ndani ya clouds media group ninan mmliki halisi wa hii media!?
kwa mujibu wa Diamond soon anaanzisha wasafi media je kwa uwekezaji wa media Naseeb kwa hela alizonazo anao uwezo wa kumiliki!? au kuna mtu nyuma yake!?
Kwann hili bifu zito linafikia climax kipindi hiki hasa mwez huu ambao ndio tumeambia wasafi media inafunguliwa rasmi!?
Clouds media walikua n kama kitu kimoja na WCB ni kwann leo kuna mzozano mkubwa!? je ni wakimasilah!? chuki binafsi!? wivu!? mvutano wakibiashara!? au kuna lingne!?
Je huu mzozano ni kati ya ruge na management ya wcb!? au diamond platinumz!? au lebo nzma yaan wasanii na management zao!?
Kwann clouds kama media kubwa ambayo licha yakazi yake yakutafuta na kutupatia habari watanzania pia msuluhish wa matatzo kupitia vipind vyao hususan 360 na PB kwann hili wasingelimalza kabla ya kusitisha kucheza nyimbo za wcb!?
kidogo em kama angalau kuna majibu chalii ang unisaidie
NB Nafikiri kwahapa nchini kwetu ifike kipind bas waandishe wote wawewamesomea hii taaluma kwasababu ndani yake kuna kutatua migogoro kwa kadri ya uwezo wao nasio kuwa chanzo na muda mwingine kichocheo cha migogoro em wajaribu kuangalia media kubwa duniani hii clouds hta congo haijafika wanakuwa hivi!? huyu diamond ndio kwanza anaingiza muziki wake Amerika ndio migogoro karibu media zote!?
Wasanii waziheshimu media na media ziheshimu wasanii na maslah yao.
 
how dare you kumuita diamond mwanamuziki wa single moja, hebu tuache chuki za kipumbavu zitatuto vibyongo (unakijua?)
 
WCB majidai mengi sana, ooh, hatutegemei medias sisi youtube, sijui viewer, alichokifanya ruge ni kuwarudisha kwenye njia tu, kawatest kidogo mmeona impact, povu debe kudadeki. kuweni na adabu, tena huyu sallam anamuharibia sana mondi. akigombana na mtu anataka na mondi agombane nae. acha ufala dogo, hakuna mafanikio bila discipline
 
Uyu meneja uchwara tu..yani unajua kuna maovu flani kwenye mziki anafanya mtu kwanini usiyaseme ili watu wote wajue ayo maovu yasijirudie tena kama na ww si mshirika wa ayo maovu
 
Kwanye event moja ya ujasiriali pale UDSM mwezi januari bwana Ruge kama mgeni mwalikwa alisema hivi,

"Hakuna kitu kinaitwa unyonyaji, haya maneno yanawalemaza sana watu. Maisha ni kama mbuga ya wanyama, inabidi uwe simba ili ule au uwe swala uliwe. Ili simba ale inabidi aamke asubuhi na mapema awinde ale, na ili swala asiliwe inabidi akimbie. Ila haitakuja kutokea hata siku moja simba na swala wakafanya majadiliano mezani eti swala aombe asiliwe.

Toka siku hiyo nilizidisha kumwelewa bwana Ruge. Jamaa yupo smart sana.
 
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza
 


Kijana sikia, Ruge hajaanza ujinga huu hivi sasa.....Ruge kawabana wanamuziki wengi tu na kwa makusudi anataka kuua muziki asili wa Tanzania (muziki wa dansi) mbona Ruge hajafanya chochote mpaka sasa? Kwa wasiojuwa wanaona kelele, ila hawa jamaa lao ni moja kwa sababu Ruge hawezi kujiamlia vitu tu na Jo akamuachia, wale lao ni moja siku zote.
 
Sisi sote tunahisi tu lakin tatizo hsa hatujui mpka kufikia hapa.. muhim tujipe mda tu kila kitu kitafahamika mana hakunaga siri hapa duniani.. ila huwa cjui ni kwann unapo saidiwa na mtu alaf bdae ukapata mafanikio makubwa ya kulingana au kumzid alokusaidia mwishon mnakuwa maadui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…