Sallam Sk amuepushia shari Ruge baada ya Kusaga kuingilia kati. Asema 'Tumekataa kuwa kaa''

Sallam Sk amuepushia shari Ruge baada ya Kusaga kuingilia kati. Asema 'Tumekataa kuwa kaa''

Mwana mwatuma nae aliomba pooo kwa blauzi kwa sababu gani mkuu????

acha uongo jide na sugu lini walishaandika barua ya kuomba msamaha clouds....so far ni mapacha,ruby na mwanafa ndyo walioomba msanaha clouds sugu na jide kamwe hawajawahi kumuomba msamaha clouds
 
Huyo salam ni choko tu anatishia kujamba wakati anaharisha
 
acha uongo jide na sugu lini walishaandika barua ya kuomba msamaha clouds....so far ni mapacha,ruby na mwanafa ndyo walioomba msanaha clouds sugu na jide kamwe hawajawahi kumuomba msamaha clouds
Jide aliomba msamaha kwa kupitia amri ya mahakama. Aliongea redio X yupo tayari nyimbo zake kupigwa ruge nae akasema tupo tayari kukaa na JD wamalize ishu yao
 
Hakuna unachokijua,bora kukaa kimya kuliko kujifanya mjuaji kuna siku utanyea mdomoni kwa kuaongea ongea hovyo bila fact
Chinga one kuna tatizo kwani?
Nimetoa maoni yangu tu, kama hayafai unatoa yako mazuri tu au unayapuuza tu, vita ya nini?

Fact ninazo, iyobo inasemekana aliwagonga na gari shilawadu ni kosa na ndio chanzo cha ugomvi, kwa hali ya kawaida hutegemei mkuu kuingilia lkn cha ajabu mkuu ndie kamtoa iyobo sero, mkuu ndie mlezi wa wasafi, mkuu amegombana na clouds. Kaangalie post za mange inst.
 
Jide aliomba msamaha kwa kupitia amri ya mahakama. Aliongea redio X yupo tayari nyimbo zake kupigwa ruge nae akasema tupo tayari kukaa na JD wamalize ishu yao

aliomba msamaha kwa amri ya mahakama hakuomba msamaha ili nyimbo zake zipigwe clouds
 
Chinga one kuna tatizo kwani?
Nimetoa maoni yangu tu, kama hayafai unatoa yako mazuri tu au unayapuuza tu, vita ya nini?

Fact ninazo, iyobo inasemekana aliwagonga na gari shilawadu ni kosa na ndio chanzo cha ugomvi, kwa hali ya kawaida hutegemei mkuu kuingilia lkn cha ajabu mkuu ndie kamtoa iyobo sero, mkuu ndie mlezi wa wasafi, mkuu amegombana na clouds. Kaangalie post za mange inst.
Haya yameisha mkuu,sorry kama nimekukwaza kwa ile komenti yangu...
 
lile ni tangazo la biashara mkuu..wanalipwa kama wanavyolipwa matangazo menginee...
 
Tangazo limelipwa na smart industries... lazima watangaze tu
 
Back
Top Bottom