Jackson996
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 773
- 1,355
mi nachokijua naipenda wasafi tv sababu ya mond hayo mambo ya kusaga akasage mahindi
Unalipwa sh ngapi kwa hii promo?
Hawa jamaa wanaosema wasafi media na clouds media zinamilikiwa na mtu mmoja hata siwaelewi
Naamuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mi nachokijua naipenda wasafi tv sababu ya mond hayo mambo ya kusaga akasage mahindi
Kusaga hana hisa wasafi ila mkewe ana 53%Ndio kuna jamaa nimemuuliza hapo juu.. huyo kusaga ana ownership ya asilimia ngapi kusema Wasafi media ni yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wanaosema kusaga ndio anamiliki wasafi ,wanatumia fact gani?Kusaga hana hisa wasafi ila mkewe ana 53%
Kusaga na mkewe ni mwili mmojaSasa wanaosema kusaga ndio anamiliki wasafi ,wanatumia fact gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi wanaamini cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, pia yule mke wa kusaga katoka familia bora ila yeye hajihusishi na kufanya chochote ni mama wa nyumbani tu so wanahisi kusaga kamtumia tuSasa wanaosema kusaga ndio anamiliki wasafi ,wanatumia fact gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama.mke wa kusaga ni shareholder wa wasafi media hapo kusaga unamtoa vipi? Maana yule mama wa kingazija ni mama wa nyumbani tu hiyo expossure ya hizo business hana..hapo pesa katoa kusaga na dili kachonga kusaga tu waache kuzingua
Hawa jamaa wanaosema wasafi media na clouds media zinamilikiwa na mtu mmoja hata siwaelewi
Hayo ni ya kwenye Biblia sio mikataba ya kisheria...!!
Sasa wanaosema kusaga ndio anamiliki wasafi ,wanatumia fact gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dizzim ya Babu Talekwani dizimm nayo anamiliki kusaga
Mendez ni Ruge 2!
kuna Uzi unasema kigogo2014 akamatwa,Unalipwa sh ngapi kwa hii promo?
Umejuaje?Sasa kama.mke wa kusaga ni shareholder wa wasafi media hapo kusaga unamtoa vipi? Maana yule mama wa kingazija ni mama wa nyumbani tu hiyo expossure ya hizo business hana..hapo pesa katoa kusaga na dili kachonga kusaga tu waache kuzingua
Wewe vipi!!!! acha kukurupuka,wewe unamwona chawa lakini Mondi anajua impact ya huyo chawa ktk biashara yake ya mziki ,pamoja na 4m4 yake.[emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha sana ww quote ya Jigga unataka fananisha na huyu mjinga alieishia form 4 huyu ni chawa kwa Domo hiyo quote ingekuwa na mashiko angeongea Domo lakini sio huyo.
Hujamuelewa....sio kwamba hana muda wa kuiangalia yote