Sallam SK,awatolea uvivu clouds media na Kusaga/Wametusamehe kwa kosa gani?

Sallam SK,awatolea uvivu clouds media na Kusaga/Wametusamehe kwa kosa gani?

Baki na mahaba yako mzee ww sio mfuatiliaji wavitu unakurupuka tu.
Eti mimi sio mfuatialiaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,sasa umejuaje kama huyo chawa 4m4 ?

Yale yale "siri kitimoto lkn mchuzi na wake nakunywa".

Eti mimi sio mfuatiliaji? Jamii forum ukiwa MNAFIKI unaonekana.
Screenshot_20191216-232012.png


😂😂 sk mjanja mjanja tu domo toka kaipga collabo Davido alikuwa kashatoboa jamaa ni chawa tu hanalolote.
 
Kumiliki over 51% ya share ina maana wewe ndiye mwenye nguvu hata kimaamuzi. Ndiyo maana kama mtu akianzisha kampuni ikakua akaanza uza shares ila akataka abaki in control basi atabaki na 51% kwasababu wengine watakuwa na 49% so hata kwenye maamuzi yeye hawezi shindwa
Kusaga/mkewe ni wanahisa wa wasafi media, na wanachomiliki ni ile asilimia ya share yao....
hata leo kusaga anaweza kutoa hisa zake/kuziuza bt hawez kuiza wafasi media hivo tujue kutofautisha mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi wanaamini cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, pia yule mke wa kusaga katoka familia bora ila yeye hajihusishi na kufanya chochote ni mama wa nyumbani tu so wanahisi kusaga kamtumia tu

Mke wa kusaga hajatoka familia bora ile rangi isikudanganye.. wale wangazija wa upanga kwenye kile ki apartment wako taabani .. yaani yule mama ametoka kupitia kusaga na kusaga ndio nguzo ya ile family.. bana tusiseme sana
 
Mkuu ivi unajua mke wa kusaga kwao wana pesa na yeye pesa ipo vizur 2 na anaweza kwenda sambambamba na kusaga kusema kuwa n mama wa nyumban 2 umetudanganya sana tena inabid umtake radhi

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujui unachoongea ni jirani zetu wa miaka mingi wale....just grew up with her young bro wareed and schooled together!!
 
Back
Top Bottom