Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,391
- 21,045
joseph1989,
Baki na mahaba yako mzee ww sio mfuatiliaji wavitu unakurupuka tu.
Baki na mahaba yako mzee ww sio mfuatiliaji wavitu unakurupuka tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti mimi sio mfuatialiaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,sasa umejuaje kama huyo chawa 4m4 ?Baki na mahaba yako mzee ww sio mfuatiliaji wavitu unakurupuka tu.
😂😂 sk mjanja mjanja tu domo toka kaipga collabo Davido alikuwa kashatoboa jamaa ni chawa tu hanalolote.
Mbna kama hizo taarifa zina mkanganyiko wengine wanasema mke wa kusaga ana hisa 51% wengne 53%Salam SK kathibitisha kuwa mme wa kusaga ni mmoja wa wamiliki wa wasafi media kama ambavyo documents zilieahi wekwa hapa zikionyesha tena ndiye ana share kubwa 51%
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani dizimm nayo anamiliki kusaga
53% mkuu nlimixMbna kama hizo taarifa zina mkanganyiko wengine wanasema mke wa kusaga ana hisa 51% wengne 53%
Kusaga/mkewe ni wanahisa wa wasafi media, na wanachomiliki ni ile asilimia ya share yao....
hata leo kusaga anaweza kutoa hisa zake/kuziuza bt hawez kuiza wafasi media hivo tujue kutofautisha mambo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa bundleUngetutajia dk ambayo alizungumzia hilo jambo..interview ni ndefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
babu tale hajawai kua na media ..hiyo dizzim online ni ya huyo salam..Dizzim ya Babu Tale
itakuwa TCRA ya Ethiopia iyoTCRA ilishatoa majina ya wamiliki Diamond ana 48% Mke wa kusaga 50% na kuna jamaa mwingine ana 2%
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi wanaamini cha mke ni cha mume na cha mume ni cha mke, pia yule mke wa kusaga katoka familia bora ila yeye hajihusishi na kufanya chochote ni mama wa nyumbani tu so wanahisi kusaga kamtumia tu
Mkuu ivi unajua mke wa kusaga kwao wana pesa na yeye pesa ipo vizur 2 na anaweza kwenda sambambamba na kusaga kusema kuwa n mama wa nyumban 2 umetudanganya sana tena inabid umtake radhi
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani ownership inaanzia % ngapi mkuu.Hivi mnavyosema jamaa media ni zake..inamaana anamiliki wasafi media kwa 100%? Hata 60 percent haijafika..sasa inakuaje yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lete mambo tukate mzizi wa fitna hp maana watu wakiona rangi tu wanaconclude hali ya kimaisha!Hujui unachoongea ni jirani zetu wa miaka mingi wale....just grew up with her young bro wareed and schooled together!!
Shida watu wanavyochukulia as if hakuna mwingine mweny share hapokwani ownership inaanzia % ngapi mkuu.