Tetesi: Sallam SK kutambulishwa kama Meneja wa Konde Gang Christmas

Hawa lengo lao lilikuwa kumpoteza [emoji146] kibamia
Kama hiyo story ni ya kweli ni dhahiri beef lao lilikuwa artificial kwa nia ya kumpoteza Kiba kumtoa katika kile kinachoonekana kuwa ndiye mpinzani wa Diamond, wameitengeneza ionekane mpinzani mwenye matashtiti na vimbwanga ili ionekane Kiba kadorora na itakuwa wamefanikiwa kwenye hilo.
NB:Only if hii story ni ya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…