The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hii ni figure reasonable around 100kMleta uzi nafikiri hujasikiliza vizuri ile interview. Kasema tetema ina streams mill 23 spotify ambapo kwa streams mill 1 spotify wanalipa dollah kama elfu 5 kasoro, hapo aliposema ni dollar elfu 10 ndio kachanganya mambo.
nina wasiwasi na hizi data, huwa kikawaida mtu wa marekani na mbongo wakisikiliza kitu malipo ni tofauti refer youtube na site nyengine zifananiazo. hata wewe leo ukienda show ya Msanii wa marekani unalipishwa kiingilio kikubwa kuliko show za kawaida kama Fiesta, hivyo wao wanakuwa wanalipwa zaidi sababu quality ya content zao ni kubwa.
Kwa iyo ni bei gani kaingizaMleta uzi nafikiri hujasikiliza vizuri ile interview. Kasema tetema ina streams mill 23 spotify ambapo kwa streams mill 1 spotify wanalipa dollah kama elfu 5 kasoro, hapo aliposema ni dollar elfu 10 ndio kachanganya mambo.
Waamini mara ngapi wale wafuasiHahahaha! Pisi kali ni twajiri? Acheni utani na neno bilioni tena dola kabisa, ila watu wa Insta wataamini
Sasa ni BongolalaBongo
Hahahaha labda kikiNimeisikiliza hiyo interview Salam alikosea tuu kusema numbers, ni kama sis wengine tuu tunapokua na mambo mengi kichwani unajikuta unachapia
Hapan wewe nenda tuu kaisikilize vizur kwanza hapo studio kulikua na makelele kibao, Salam anaulizwa swali kabla hajajibu mwingine tena kaulizaHahahaha labda kiki