CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.
Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?