Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Amesikika Salma Kikwette na hoja ambayo yeye ni mnufaika wa moja kwa moja:

View attachment 2198084

Wabunge wanategemewa kwa mujibu wa kanuni za bunge kuwasilisha hoja za wananchi si hoja zao.

Pamoja na ubinafsi alioonyesha, mama huyu ni vyema ajitathmini kama kweli anatosha kwa nafasi hii.
The wives enjoy the benefit that husband carries. The reason why the wife need to go in retirement with president is this..she gets to harm the reputation of the retired president.
 
Hakuna bunge awamu hii..

Watanzania tuna jopo la wanaccm kwenye ukumbi wa bunge.

Tuliachiwa urithi huu kwa miaka 5 na serikali dhalimu.

Watanzania hawana budi kulikataa genge hii linalonufaika na kodi za wananchi ilhali hawakuwapigia kura za kuwatosha kuweza kuwa wawakilishi wao.
 
Naunga mkono hoja Kikwete akae Naye mbali mali zake kama hajaziweka vizuri aanze kuandika wanawe yasitokee ya Reginald Mengi akaja kusumbua akina Ridhiwani mbele

Akumulikaye mchana usiku atakuchoma

Kikwete weka mali zako vizuri huyo mama Salma sio mtu mzuri.Dalili ya mvua mawingu .Kama hajaona dalili basi hajielewi

Tafuta hata mtoto yeyote mnaelewana mkabidhi vitu vyako na documents transfer kimyakimya huyu mkeo Salma sio ni kama Klein Mengi tu nyumba ndogo ya Mengi anayesumbua mahakamani kwa mali alizozikuta ambaxo hakuchuma na Mengi huyu Salma kaolewa kwako kukuchuma tu loo

Anza kuhamisha title za mali secretly kwa mtoto au watoto unaowaamini vichwa vyao viko vizuri kimya kimya.Likitokea la kutokea haambulii kitu
Watoto watakuwa na akili ya Baba yao ya kupenda kubembea!
 
Naunga mkono hoja Kikwete akae Naye mbali mali zake kama hajaziweka vizuri aanze kuandika wanawe yasitokee ya Reginald Mengi akaja kusumbua akina Ridhiwani mbele

Akumulikaye mchana usiku atakuchoma

Kikwete weka mali zako vizuri huyo mama Salma sio mtu mzuri.Dalili ya mvua mawingu .Kama hajaona dalili basi hajielewi

Tafuta hata mtoto yeyote mnaelewana mkabidhi vitu vyako na documents transfer kimyakimya huyu mkeo Salma sio ni kama Klein Mengi tu nyumba ndogo ya Mengi anayesumbua mahakamani kwa mali alizozikuta ambaxo hakuchuma na Mengi huyu Salma kaolewa kwako kukuchuma tu loo

Anza kuhamisha title za mali secretly kwa mtoto au watoto unaowaamini vichwa vyao viko vizuri kimya kimya.Likitokea la kutokea haambulii kitu
Sema kuoa Vibinti shida sana😂😂
 
Nape Riz January na Mwigulu nao ni watanzania kama ulivyo wewe....hujawazidi haki ya uraia.....
Haki ya Urai kila mtu anayo mkuu ila kuna watu wengine unawaona matendo yao yanakutia mashaka kama kweli ni Raia wa Nchi hii hasa hao uliohusishwa nao
 
Namhurumia Kikwete kuoa mwanamke huyo Salma atakuwa anajuta kumfahamu
Inaelekea Huyu mwanamke kamzidi nguvu mjomba ama sivyo kwa akili ya kawaida tu sioni sababu ya kuwa mbunge badala ya kukaa nyumbani na kumliwaza mumewe uzeeni!!
Kitendo hiki kinaashiria kuwa huko nyumbani kwao hakuna salama!
 
Huyu mama nilikuwa namuheshimu lakin kumbe ni mtu wa hovyo sana. Yaani haoni hata masikini waliojaa huko Lindi anakowakilisha hawana dawa wala maji safi. Puuuaa! Puuuaa!
Wakati wa kampeni hukumuona mama aliwapigia magoti wapiga KURA!? We unadhani yale magoti alikua anawaomba wamtume akawatumikie wao?
 
CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.

Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?
 
Hua najiuliza mtu umekua Rais au mme wake ni Rais kweli miaka yote hio hajapata cha kufanya connection alizopata zote hazitoshi hadi anataka serikali imsaidie ndio yale maswala ya mzee MWINYI kupewa Gari
ni ubinafsi tu, ni kama familia ya yule raisi wa Equatorial Guinea
 
Kitu kimoja ambacho watanzania wengi hawafahamu ni kwamba hawa wanaojitambulisha kuwa wenye chama ama wenye nchi wanatamani wajirithishe uongozi na rasilimali za nchi vizazi na vizazi.Wanatamani wapewe hakimiliki ya teuzi,chaguzi na rasimali.

Kama kazi ambazo walifanya walilipwa na kuchuma na mpaka leo serikali inawajengea nyumba na kuwapa magari ya kifahari hawaridhiki tu.

Hilo kundi la walamba asali hakuna hata mmoja anaetoka katika list ya wapigania uhuru ni wapiga dili tu hawana uchungu na nchi hii
 
Hawa watu kama hawakushiba miaka ya mume naibu waziri nishati miaka 4,waziri nje miaka 10, urais miaka 10 pamoja na stahiki zote na JPM akamzawadia ubunge wa kuteuliwa 2016.2020 akalamba ubunge mwengine bado tu anadai chenji?

Na usikute 2025 anapanga foleni na walalahoi kugombea tena.

Eeh Mola tutee waja wako wa Tanganyika
Inasikitisha sana aisee
 
Mama anatakiwa amshukuru Mungu kwa alichokipata kuna watz wametumikia taifa hili kwa weledi leo hii wana maisha magumu hata matibabu shida.Akumbuke huwezi kupambana na mali za ulimwengu hii vyote ni vya Mungu.wazungu wametuiibia Africa na wanajichotea hadi leo lakini rasilimali bado zimejaa na bado zingine zinagunduliwa haya maisha tunapita.vasco Dagama na wezake familia zao wala hazipo kwenye list za matajiri duniani pamoja na kupora mali zote Africa
 
Kweli nimeamiini msemo wa kiswahili usemao; aliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'anywa hata kidogo alicho nacho!!!!
Nchi yetu bado watu wake ni masikini wa kutupwa, viongozi acheni kujilimbikizia...saidieni kutatua kero za wananchi
 
Huwa tunateseka na ile hulka ya kutotosheka mpaka ile siku ya ahadi huwa inatufikia ghafla na ndipo tunapokumbuka kwamba kumbe tuliyokuwa tukihubiriwa ni ya kweli !?!??
😱😳🙄
Lo! Laiti ningejua !!!! 😱🤦🏽‍♂️

Watasema wivu tu huo 😂😂😅
Hatar sana 😅🤣
 
Kweli nimeamiini msemo wa kiswahili usemao; aliye nacho huongezewa na asiye nacho hunyang'anywa hata kidogo alicho nacho!!!!
Nchi yetu bado watu wake ni masikini wa kutupwa, viongozi acheni kujilimbikizia...saidieni kutatua kero za wananchi
Mali huwa hazitoshagi kwa mwenye nazo mpaka ile siku ya Ahadi !
 
Back
Top Bottom