Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Wao wanataka sheria zao sio hizo za Umma na nahisi wanataka ziitwe Sheria za wake wa Marais
Hakuna umuhimu huo kwakweli maana yeye sio kiongozi wa uma. Yeye ni mwenza tu.

Ukifanya hivyo unafungua mlango kwa wenza wa watumishi wengine nao kuhitaji mafao.

Mfano mke wa IGP, Mke wa CDF , mke wa DGIS, Mwenza wa kamisha na Magereza, Takukuru,Uhamiaji ,Zimamoto n.k. zote hizo ni nafasi za juu katika utumishi wa uma.

Kwa hali yetu ya kiuchumi hatuwezi kuhudumia watu wote hao.

Huo ni ufujaji wa fedha za wananchi. Watu waridhike tu na wanachopata kwenye maisha haya binadamu huwezi ukawa na kila kitu. Ni swala la kuridhika tu.

Mtu kama huridhiki hapo sasa kuna kitu kinaitwa tamaa.

Tamaa huzaa dhambi na malipo ya dhambi ni mauti.
 
Huyu mama anamapepó ya kupenda pesa tu

USSR
Yule jamaa mwanamuziki aliyetoka jera kipindi cha JPM bado ajapasha kiporo chake. Tezi dume nasikia linamaliza kila kitu yanabaki sehemu ya kukojolea tu. Hivyo huyo mwanamuziki ni muda muafaka kuendeleza kupasha kiporo.
 
Kwanza mama Salma ndio Mwenyekiti wa umoja wa hao wake wa Maraisi wote wa africa anapilika na miradi yenye mpunga mrefu lakini hawatosheki aiseee.
Watu wamezeeka watoto wao wakubwa wana maisha yao yeye kila mwezi anpata milioni 12 mshahara bungeni kwa vipindi viwili vya bunge mfululizo Pension milioni mia mbili kila Miaka mitano nyumbani kula bure kulala bure ,gari bure kwa mafao ya mumewe
Bado anataka na mengine juu ya u first lady eee

Duniani kweli kuna wanawake wana tama

Mufti kampe mawaidha huyo Salma aongelee maskini
Huenda anamuongelea mjane wa awamu ya 5, na maslahi ya wake wa viongozi wa miaka ijayo ?

Kwani hawa wenza wa maraisi wanapostaafishwa baada ya waume zao kuwa viongozi, huwa hawalipwi pension zao ?
 
Anataka aachwe free akaendelee na mambo yake hataki kuchungwachungwa na mi body guard kila kona

Nafikiri vizuri tu waruhusiwe kuendelea na kazi zao za awali itasaidia kuondoa frustration zao za majumbanizilizowajaa kibao kujiona kama wafungwa

Kafikia kiwango cha juu cha frustration anaona ndoa kama gereza!! Kuwa heri niwe na cha kufanya !!

Ila shukrani hana eti unaanzisha NGO hakuna wa kukusaidia!! Ile NGO yake ya WAMA viongozi na taasisi kibao za Serikali zilikuwa zinaichangia mamilionin kwa influence ya Raisi Kikwete mumewe hadi wataalamu alipewa akina Kingwangala nk

Kusema mumewe hakumsaidia ni utovu wa nidhamu na kukosa shukrani.Yeye wazungu wafadhili wa huo mfuko angewapata wapi bila influence ya mumewe Raisi Kikwete? Kusema alihangaika mwenyewe sio kweli.Ofisi yenyewe ya WAMA pale ikulu aliwezaje kupata bila msaada wa mumewe?.mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Salma kamdhalilisha mumewe kusema NGO yake hakumsaidia alihangaika mwenyewe
inasikitisha mtu aliye na uwezo hawezi pambana na hali yake.
Anataka wengine amfikirie.
Anamuaibisha Jakaya.
 
Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Huyu, mumewe na mtoto wao akili sawa, badala ya kufikiria waifanyie Tanzania wanataka Tanzania iwatumikie wao for what, ndiyo maana tunahitaji wabunge wenye kujitambua siyo wabunge ugoro, hivi tukienda Mchinga tuwaulize wananchi watasema hiyo ndiyo shida yao au ametumwa na mumewe,

Aibu yaani hawashibi !!!
 
Huyu mama anamapepó ya kupenda pesa tu

USSR
Naunga mkono hoja Kikwete akae Naye mbali mali zake kama hajaziweka vizuri aanze kuandika wanawe yasitokee ya Reginald Mengi akaja kusumbua akina Ridhiwani mbele

Akumulikaye mchana usiku atakuchoma

Kikwete weka mali zako vizuri huyo mama Salma sio mtu mzuri.Dalili ya mvua mawingu .Kama hajaona dalili basi hajielewi

Tafuta hata mtoto yeyote mnaelewana mkabidhi vitu vyako na documents transfer kimyakimya huyu mkeo Salma sio ni kama Klein Mengi tu nyumba ndogo ya Mengi anayesumbua mahakamani kwa mali alizozikuta ambaxo hakuchuma na Mengi huyu Salma kaolewa kwako kukuchuma tu loo

Anza kuhamisha title za mali secretly kwa mtoto au watoto unaowaamini vichwa vyao viko vizuri kimya kimya.Likitokea la kutokea haambulii kitu
 
Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Ina maana mumewe alikuwa anahudumia familia za nje, mkewe hamhudumii!
 
Naunga mkono hoja Kikwete akae Naye mbali mali zake kama hajaziweka vizuri aanze kuandika wanawe yasitokee ya Reginald Mengi akaja kusumbua akina Ridhiwani mbele

Akumulikaye mchana usiku atakuchoma

Kikwete weka mali zako vizuri huyo mama Salma sio mtu mzuri.Dalili ya mvua mawingu .Kama hujaona dalili basi hajielewi

Tafuta hata mtoto yeyote mnaelewana mkabidhi vitu vyako na documents transfer kimyakimya huyu mkeo Salma sio ni kama Klein Mengi tu nyumba ndogo ya Mengi anayesumbua mahakamani kwa mali alizozikuta ambaxo hakuchuma na Mengi huyu Salma kaolewa kwako kukuchuma tu loo

Ana kuhamisha title za mali secretly kwa mtoto au watoto unaowaamini vichwa vyao viko vizuri kimya kimya.Likitokea la kutokea haambulii kitu

Waache yawakute, walituuza kwa wageni
 
Amesikika Salma Kikwette na hoja ambayo yeye ni mnufaika wa moja kwa moja:



Wabunge wanategemewa kwa mujibu wa kanuni za bunge kuwasilisha hoja za wananchi si hoja zao.

Pamoja na ubinafsi alioonyesha, mama huyu ni vyema ajitathmini kama kweli anatosha kwa nafasi hii.
 
Familia ya kifisadi inawaza kuifukaeisha nchi na kunenepesha mifuko yao.
 
amezingua, haya ni matokeo ya kupeana vyeo hata kwa vilaza
 
Mke wa mwl wangu mstaafu wa primary nae anahitaji stahiki...alimuwezesha sana mwl kutimiza majukumu yake.
 
Back
Top Bottom