Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Anataka aachwe free akaendelee na mambo yake hataki kuchungwachungwa na mi body guard kila kona

Nafikiri vizuri tu waruhusiwe kuendelea na kazi zao za awali itasaidia kuondoa frustration zao za majumbanizilizowajaa kibao kujiona kama wafungwa

Kafikia kiwango cha juu cha frustration anaona ndoa kama gereza!! Kuwa heri niwe na cha kufanya !!

Ila shukrani hana eti unaanzisha NGO hakuna wa kukusaidia!! Ile NGO yake ya WAMA viongozi na taasisi kibao za Serikali zilikuwa zinaichangia mamilionin kwa influence ya Raisi Kikwete mumewe hadi wataalamu alipewa akina Kingwangala nk

Kusema mumewe hakumsaidia ni utovu wa nidhamu na kukosa shukrani.Yeye wazungu wafadhili wa huo mfuko angewapata wapi bila influence ya mumewe Raisi Kikwete? Kusema alihangaika mwenyewe sio kweli.Ofisi yenyewe ya WAMA pale ikulu aliwezaje kupata bila msaada wa mumewe?.mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Salma kamdhalilisha mumewe kusema NGO yake hakumsaidia alihangaika mwenyewe
Wewe acha kubadili mada swala kila mtu akistaafu alipwe mafao nawao wanapostaafishwa walipwe mafao simple tu
 
Wewe acha kubadili mada swala kila mtu akistaafu alipwe mafao nawao wanapostaafishwa walipwe mafao simple tu
Kwani kasema hakulipwa mafao wapi katamka?
Yeye kasema wakiachishwa kazi wapewe kazi zingine na marupurupu ya u first lady

Jibu Rahisi waruhusiwe tu kuendelea na kazi walizokuwa wakifanya kabla waume au wake zao kuwa maraisi,makamu wa Raisi au mawaziri wakuu.Full stop.
 
Kwani kasema hakulipwa mafao wapi katamka?
Yeye kasema wakiachishwa kazi wapewe kazi zingine na marupurupu ya u first lady

Jibu Rahisi waruhusiwe tu kuendelea na kazi walizokuwa wakifanya kabla waume au wake zao kuwa maraisi,makamu wa Raisi au mawaziri wakuu.Full stop.
Amesema walipwe mafao kwani video hujaiona au
 
Hiyo pension wanayopata kwa kuwa tunza waume zao ni mara Mia moja ya pension yao ya ualimu!!

Huyu Salma anadai hiyo pension pengine ameachika kwa Vasco Dagama?
JPm hayupo, mama Janet analipwaje? Kuna mke Dr omary juma, mke wa Rashid, abdul jumbe
 
JPm hayupo, mama Janet analipwaje? Kuna mke Dr omary juma, mke wa Rashid, abdul jumbe
Sheria ya mafao ya viongozi wakuu 1999 inaekezea kuwa Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.
Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.
Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.
Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane au mgane
 
Nature, asili ya Watanzania ni utulivu. Kuiamini serikali yao.

Ila hii serikali ya sasa inajaribu sana kuvunja kila uaminifu, uadilifu, imani ya Wananchi juu ya serikali yao kwa kuwatenganisha watu kikabila, kidini, kikanda, kwa mazingaombwe, kisera na kiitikadi.

Tatizo hawana sera, imani, wala itikadi. Hawataki sera za JPM wakati huohuo ni weupe hawana sera, maono, vision, itikadi zao. Itikadi yao ni kula kwa urefu wa kamba zako, tia saini mikataba ya hovyo, sifia kila uchafu,kopa iba, weka watoto wa washikaji,ndugu, kanda, dini yako.

Watafanikiwa , mwisho wa siku watapata wanachokitafuta, ni kuivuruga amani, mshikamano wa Taifa.
Nimeipenda hii,ni ukweli mtupu huu,serikali inatumia vibaya utulivu wa wananchi,wao ni kutaka kula wao tu,hawana uchungu na nchi,wapiga dili wakubwa

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.
Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.
Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.
Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.
Kama haya yapo Sidhani wangelalamika
 
Mama mdogo anazingua mno na hayo ndiyo aliyoagizwa na wananchi wake na 2025 anapita.
Tuseme ukweli, JPm hakustaafu kafia kazini mafao yanakuwaje? Na mumewe alikuwa hachangii nssf,
 
Hawakulalamika usiweke uwingi sema yeye kalalamika
Angalia mama salma alivyo anza kuongea ni wazi alimlenga mama Janet, siku ya msiba ssh alitamka kuwa ataendelea kumhudumia lakini kwa kilango gani? It seems ni hisani tu
 
Angalia mama salma alivyo anza kuongea ni wazi alimlenga mama Janet, siku ya msiba ssh alitamka kuwa ataendelea kumhudumia lakini kwa kilango gani? It seems ni hisani tu
Hakulenga huko usipotoshe

Mafao yako kisheria

Iko kisheria sio hisani. SHERIA inatamka wazi

Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.
Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.
Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.
Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.
 
Hakulenga huko usipotoshe

Mafao yako kisheria

Iko kisheria sio hisani. SHERIA inatamka wazi

Rais mstaafu akifariki dunia, mke au mume wake hupewa nyumba, posho kiasi cha asilimia 40 ya mshahara wa rais aliye madarakani.
Aidha, mjane au mgane huyo hutengewa fedha za matibabu ndani ya nchi na matengenezo ya gari analopewa na Serikali.
Pia hulipiwa mshahara wa kima cha chini kwa dereva na mtumishi wa ndani pamoja na hupewa usafiri wa kwenda mahali atakapoishi maisha yake yaliyosalia.
Mabadiliko hayo yalilenga pia kuhakikisha kuwa iwapo kiongozi husika alikuwa analipwa pensheni kwa ajira ya awali, malipo yake yataendelea kutumiwa na mjane.
Basi kwann is iwe kwa watumishi wote wa umma, mume mstaafu akifa basi mke ape we 40% ya pension ya mumewe
 
Back
Top Bottom