Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.

Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?
Asicho kijua salma kikwete ni kwamba mke wa kiongozi yeye sio kiongoz na hastahili chochote cha kiuongozi zaid ya heshima tu tena na yenyewe sio lazima.
 
Asicho kijua salma kikwete ni kwamba mke wa kiongozi yeye sio kiongoz na hastahili chochote cha kiuongozi zaid ya heshima tu tena na yenyewe sio lazima.
... hii mentality sijui itaondokaje vichwani mwa wenye akili za aina hiyo.
 
Ndo maana amezingumzia hayo maana hawalipwi hayo mafao yao na kisheria inatakiwa ulipwe pale unapostaafu kazi
Alichoongelea ni kuwa Serikali imtafutie kazi ingine ya kufanya mume akipata uraisi , umakamu au uwaziri mkuu na impe mafao ya u first lady!!!

Sheria za mafao kule unafanya kazi ziko wazi


Je Mwanachama wa Mfuko akiacha kazi anaweza kulipwa mafao ya kujitoa?​


Hapana. Mwanachama wa PSSSF akiacha kazi kwa hiari yake hatapata mafao hadi atakapofikisha umri wa kustaafu kisheria Atashauriwa kuendeleza uchangiaji wake akiwa kwenye ajira nyingine. Kama akiwa ameachishwa kwa sababu nyingine yeyote bila hiari yake, Mfuko utamlipa mafao ya kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6, mafao hayo yatasita endapo atapata kazi kabla ya kuisha kwa miezi hiyo sita. lkipita miezi 18 baada ya kwisha kipindi cha kupata fao la kukosa ajira, mwanacharma anaweza kuomba michango yake kwenye mfuko kuhamishiwa kwenye Mfuko wa hiari. Michango itahamishwa baada ya kuondoa jumla ya fao la kukosa kazi. Fao la kukosa kazi litalipwa si zaidi ya mara tatu katika utumishi wote wa wanachama.
 
Alichoongelea ni kuwa Serikali imtafutie kazi ingine ya kufanya mume akipata uraisi , umakamu au uwaziri mkuu na impe mafao ya u first lady!!!

Sheria za mafao kule unafanya kazi ziko wazi


Je Mwanachama wa Mfuko akiacha kazi anaweza kulipwa mafao ya kujitoa?​


Hapana. Mwanachama wa PSSSF akiacha kazi kwa hiari yake hatapata mafao hadi atakapofikisha umri wa kustaafu kisheria Atashauriwa kuendeleza uchangiaji wake akiwa kwenye ajira nyingine. Kama akiwa ameachishwa kwa sababu nyingine yeyote bila hiari yake, Mfuko utamlipa mafao ya kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6, mafao hayo yatasita endapo atapata kazi kabla ya kuisha kwa miezi hiyo sita. lkipita miezi 18 baada ya kwisha kipindi cha kupata fao la kukosa ajira, mwanacharma anaweza kuomba michango yake kwenye mfuko kuhamishiwa kwenye Mfuko wa hiari. Michango itahamishwa baada ya kuondoa jumla ya fao la kukosa kazi. Fao la kukosa kazi litalipwa si zaidi ya mara tatu katika utumishi wote wa wanachama.
 
Alichoongelea ni kuwa Serikali imtafutie kazi ingine ya kufanya mume akipata uraisi , umakamu au uwaziri mkuu na impe mafao ya u first lady!!!

Sheria za mafao kule unafanya kazi ziko wazi


Je Mwanachama wa Mfuko akiacha kazi anaweza kulipwa mafao ya kujitoa?​


Hapana. Mwanachama wa PSSSF akiacha kazi kwa hiari yake hatapata mafao hadi atakapofikisha umri wa kustaafu kisheria Atashauriwa kuendeleza uchangiaji wake akiwa kwenye ajira nyingine. Kama akiwa ameachishwa kwa sababu nyingine yeyote bila hiari yake, Mfuko utamlipa mafao ya kukosa ajira kwa kipindi cha miezi 6, mafao hayo yatasita endapo atapata kazi kabla ya kuisha kwa miezi hiyo sita. lkipita miezi 18 baada ya kwisha kipindi cha kupata fao la kukosa ajira, mwanacharma anaweza kuomba michango yake kwenye mfuko kuhamishiwa kwenye Mfuko wa hiari. Michango itahamishwa baada ya kuondoa jumla ya fao la kukosa kazi. Fao la kukosa kazi litalipwa si zaidi ya mara tatu katika utumishi wote wa wanachama.
Nimekutumia link nadhani utamuelewa
 
Kupunguza bugudha mke au mume wa Raisi,makamu na Waziri mkuu waruhusiwe kuendelea na shughuli zao walizokuwa wakifanya.Kama mwalimu waendelee na ualimu wao wasihangaike naye

Marekani Taratibu ziko hivyo .Mfano mke wa Raisi wa sasa Joe Biden ni Proffessor anaendelea kufundisha

Waume zao wapunguziwe zile posho za wenza kupunguza bajeti
 
Kupunguza bugudha mke au mume wa Raisi,makamu na Waziri mkuu waruhusiwe kuendelea na shughuli zao

Marekani Taratibu ziko hivyo .Mfano mke wa Raisi wa sasa Joe Biden ni Proffessor anaendelea kufundisha

Waume mazao wapunguziwe zile posho za wenza kupunguza bajeti
Sasa nahisi umemuelewa nini ambacho alikuwa anamaanisha
 
Sasa nahisi umemuelewa nini ambacho alikuwa anamaanisha
Basi kazi ndogo mume wa Samia aendelee na kazi zake na wake wa hao viongozi wa juu wengine waruhusiwe kuendelea na shughuli zao simple

Mtu Raisi au makamu au Waziri mkuu ana wake wanne huwezi beba wote kila mmoja aendelee na shughuli zake na Raisi ,makamu na Waziri mkuu aendelee na zake
 
Basi kazi ndogo mume wa Samia aendelee na kazi zake na wake wa hao viongozi wa juu wengine waruhusiwe kuendelea na shughuli zao simple

Mtu ana wake wanne huwezi beba wote kila mmoja aendelee na shughuli zske
Sasa sheria inawataka wastaafishwe labda mkabadili
 
Sasa sheria inawataka wastaafishwe labda mkabadili
Kubadili sheria rahisi tu kupitia hati ya dharura
Kwanza walikuwa mizigo tu kwenye bajeti ya nchi

Mwanasheria mkuu wa Serikali apeleke hati ya dharura kubadili hilo upesi kabla mama salma hajamtoa macho Kikwete ili arudi kufundisha chekechea akipata mshahara take home laki 6 ampelekee mumewe Kikwete

Waruhusiwe tu kabaki na fani zao hao wenza wao anayetaka kuwa full time housewife sawa asiyetaka sawa

Nchi nyingi wenza wa viongozi wanaendelea na mambo yao na viongozi wakiendelea na yao
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Nini kimempata mama Salma?
Mume-Rais Mstaafu
Mtoto-Mbunge Chalinze
Yeye-Mbunge huko Mchinga

Anachotaka nini tena?
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Mama punguza mawazo yaliyojaa ubinafsi waangalie na wajane na wagane wengine, Mungu hapendi hivo
 
Nini kimempata mama Salma?
Mume-Rais Mstaafu
Mtoto-Mbunge Chalinze
Yeye-Mbunge huko Mchinga

Anachotaka nini tena?
Anataka aachwe free akaendelee na mambo yake hataki kuchungwachungwa na mi body guard kila kona

Nafikiri vizuri tu waruhusiwe kuendelea na kazi zao za awali itasaidia kuondoa frustration zao za majumbanizilizowajaa kibao kujiona kama wafungwa

Kafikia kiwango cha juu cha frustration anaona ndoa kama gereza!! Kuwa heri niwe na cha kufanya !!

Ila shukrani hana eti unaanzisha NGO hakuna wa kukusaidia!! Ile NGO yake ya WAMA viongozi na taasisi kibao za Serikali zilikuwa zinaichangia mamilionin kwa influence ya Raisi Kikwete mumewe hadi wataalamu alipewa akina Kingwangala nk

Kusema mumewe hakumsaidia ni utovu wa nidhamu na kukosa shukrani.Yeye wazungu wafadhili wa huo mfuko angewapata wapi bila influence ya mumewe Raisi Kikwete? Kusema alihangaika mwenyewe sio kweli.Ofisi yenyewe ya WAMA pale ikulu aliwezaje kupata bila msaada wa mumewe?.mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.Salma kamdhalilisha mumewe kusema NGO yake hakumsaidia alihangaika mwenyewe
 
Back
Top Bottom