Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Sijaona ubaya ya aliyoyasema, lakini sijui watu wamechukulia kwa mtazamo upi.

Kawaida mtu ukistaafu lazima ulipwe mafao yako.

Mfano Mama janeth alikuwa mwalimu lakini baada ya Magufuli kuwa raisi yeye anastaafishwa kazi. Sasa kwanini asilipwe mafao yake kama mwalimu.

Si yeye amejimaanisha bali hata hao wajao wengine watanufaika
Una hakika haangaliwi leo kama mke wa Rais? Tuache kuwatukana watanzania. Anachotafuta ni kupata legal status ili impe milage!!! Nachojiuliza ni milage ya nini sasa? Tujifunze kula na kushiba. Binadamu wote wana midomo. Imagine wawe wanashinda njaa, halafu wachache ndio wanakula...kitatokea nini???
 
Itafikia hatua wataomba hadi wajukuu zao waandaliwe mazingira mazuri Babu zao wanapostaafu Urais
Kweli. ndiko tunakoelekea. Wala hakua na ulazima kugombea ubunge. Wkt kuna waTz wanakufa kw kkosa hela za matibabu, za elimu ya watt na wajukuu wao na wengine hawana chakula, tunao wawaklishi wanatmia muda wetu kjipgia madebe bngeni.
Wabunge wa ss hv, sjui wamekula mahrage ya wp?! "Bunge live" ya ss inatia kinyaa, kila anayesimama, ni masuala binafsi au nyimbo za mapambio... nk. Yaani wabunge woote hawa hata mmoja anayezngmzia Katiba Mpya hakuna ...dah!
 
Hii Nchi unaweza tamani ipinduliwe tu mkuu

Nature, asili ya Watanzania ni utulivu. Kuiamini serikali yao.

Ila hii serikali ya sasa inajaribu sana kuvunja kila uaminifu, uadilifu, imani ya Wananchi juu ya serikali yao kwa kuwatenganisha watu kikabila, kidini, kikanda, kwa mazingaombwe, kisera na kiitikadi.

Tatizo hawana sera, imani, wala itikadi. Hawataki sera za JPM wakati huohuo ni weupe hawana sera, maono, vision, itikadi zao. Itikadi yao ni kula kwa urefu wa kamba zako, tia saini mikataba ya hovyo, sifia kila uchafu,kopa iba, weka watoto wa washikaji,ndugu, kanda, dini yako.

Watafanikiwa , mwisho wa siku watapata wanachokitafuta, ni kuivuruga amani, mshikamano wa Taifa.
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Kwanza pensheni za rais mstaafu zipo kikatiba 80% ya mshahara wake lakini hachangii kama wafanyakazi wote serikalini. Mfanyakazi gani analipiwa pensheni ya mkewe akistaafu?
Mfanyakazi gani analipiwa 80% ya mshahara wake akistaafu?
 
Kuna siku Rais mstaafu anaelipiwa pensheni 80% ya mshahara wake, halafu mwenye wake wanne atalipiwa pensheni za wake zake 4? Kama ni hivyo kitakacho fuata ni watoto wao pia watavuna bila kupanda!
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Urais Tz ni kama ufalme!
 
Kuna siku Rais mstaafu anaelipiwa pensheni 80% ya mshahara wake, halafu mwenye wake wanne atalipiwa pensheni za wake zake 4? Kama ni hivyo kitakacho fuata ni watoto wao pia watavuna bila kupanda!
Of course, unaweza kuona mwelekeo wao, wanapoenda, wanavyofikiria, entitlement mentality.

Watoto wa wake wanne kama watakuwa kama ishirini hivi, wakioa wanne kila mmoja tutaambiwa serikali tuwatunze, wajukuu mia mbili tuwatunze. Kodi yote itaishia kuwatunza viongozi na kulipia madeni ya mikopo ya hovyo na riba zake.

Demokrasia au utawala wa kifalme? kikundi, genge dogo flani linalojiita watoto wa mjini kwa manufaa ya familia chache wameiteka nchi huku wengi wakipata msoto haswa hakuna wa kuwasikiliza au kuwasaidia.
 
Mama salama ana hojamani ya Msingi, mama Janet alikuwa mwalimu mama salma alikuwa mwalimu walistaafishwa kwa nguvu mafao yao inakuwaje?
 
Mkiwa na hiyo gesi yenu mtaiuza kwenye soko lenye kujitosheleza lililoko Kashozi ama Kanyigo ?!!! [emoji1787][emoji1787]
Tutaichomeka gesi mkunduni kwako ili upate nishati bora itakayosaidia kuwasha taa kwenye makalio yako!

Kwako Jumbe Brown.
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Awamu ya kula kwa urefu wa kamba. Viazi vimejaaa sana shambani ngoja niendelee kula tu.
 
Back
Top Bottom