Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ni kweli, ila ziwe za kutafuta na sio za mbeleko.Hela haijawahi tosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, ila ziwe za kutafuta na sio za mbeleko.Hela haijawahi tosha
Mzee unajua anahitaji kiasi gani?Yuko sahihi....
Kwani wake wa marais wanakuwa wangapi watuumize kiuchumi?!!!
#Siempre JMT🙏
Kiasi akitakacho hakiwezi kuitia ufukara BOT....Mzee unajua anahitaji kiasi gani?
Mkuu hizi nafasi saivi zipo kulipana fadhila zaidi sio kujenga Nchi ndio maana tutaendelea kupata viongozi wa hivi.Wakati mwingine wekeni wawakilishi sahihi,sio huu utopolo
😂😂😂nasisi wanaume tuliooa wastafu tuwe tunalipwa posho na mafao..
bila kusahau michepuko yetu pia..
Yuko sahihi....
Kwani wake wa marais wanakuwa wangapi watuumize kiuchumi?!!!
#Siempre JMT🙏
Wanataka kiinua mgongo cha % 50 ya mume wake kama mke wa Raisi mstaafuWanataka sijui wawe wanapewa kiinua mgongo nao?
Mumewe Kikwete kamsaidia ubunge kwa mwezi anapata milioni 12 bado analeta kelele mafao mwisho milioni 200 angebaki shule ya msingi ukifundisha mshahara huo angeupata?Hopeless kabisa huyu mama.
Mbona wake wa viongozi wa nchi nyingine wake zao hawana tamaa kama yeye ya Kula pesa za bure au katumwa na Mama Maria Nyerere na Anna mkapa na Mama Janeth MagufuriAsingepazwa kuwepo pale yaani mume awe rais na ufisad wote ule lkn Bado nae anakuja kukinga mshahara Kuna famili na watu wa huko nao wanapazwa kuwa viongozi na kupata kipato kutokana na Kaz hyo yey Bado Yuko anaganda bungeni African Nan ametuloga
Yani kusafiri kote kwenda kwa mabeberu hakujifunza kutoka mke wa Clinton, Obama, Bush inamaana safari zote alizoenda zilukuwa ni kushangaa magorofa na hakujenga urafiki na taasisi binafsi za mabeberuHua najiuliza mtu umekua Rais au mme wake ni Rais kweli miaka yote hio hajapata cha kufanya connection alizopata zote hazitoshi hadi anataka serikali imsaidie ndio yale maswala ya mzee MWINYI kupewa Gari
Mkuu Wanawake wa Afrika ni wapigaji tu we huwaoni wanavyoombaga hela za Nauli?Mbona wake wa viongozi wa nchi nyingine wake zao hawana tamaa kama yeye ya Kula pesa za bure au katumwa na Mama Maria Nyerere na Anna mkapa na Mama Janeth Magufuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushahidi wa kuusika kwake na madawa hebu upeleke polisi....
Wote wanatunzwa na Serikali hawana shida huyu kuna wakati wa kampeni kumkampenia ubunge salma Kikwete mzee Kikwete alisema kuna vijimaneno wanasema ohh Kikwete kamuacha Salma akacheka niko naye namfanyia kampeniYale Mbona wake wa viongozi wa nchi nyingine wake zao hawana tamaa kama yeye ya Kula pesa za bure au katumwa na Mama Maria Nyerere na Anna mkapa na Mama Janeth Magufuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ...! hicho ndicho wananchi wa Mchinga walimtuma akawasemee Bungeni?
Huko Mchinga kuna Changamoto kibao yeye hazioni.?
Duh yaani ni vigumu kuamini kuwa hakuna wa kusapoti-au vijembe hivyo kwa Mstaafu- yaani kastaafu mpaka kumsapoti.Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.
Bado hajatosheka tu!
Mama anatakiwa amshukuru Mungu kwa alichokipata kuna watz wametumikia taifa hili kwa weledi leo hii wana maisha magumu hata matibabu shida.Akumbuke huwezi kupambana na mali za ulimwengu hii vyote ni vya Mungu.wazungu wametuiibia Africa na wanajichotea hadi leo lakini rasilimali bado zimejaa na bado zingine zinagunduliwa haya maisha tunapita.vasco Dagama na wezake familia zao wala hazipo kwenye list za matajiri duniani pamoja na kupora mali zote AfricaGenge la mizoga ya msoga linazidi kutafuna tu!
Huyu nae anataka kiinua mgongo?
Hajaridhika tu jinsi basha wake alivyopora mapesa ya nchi kwa miaka kumi?
Na bado ubunge tukampa, na mwanae muuza madawa nae tukamtunuku ubunge wa bure!
Hashibi tu!?
Hilo sakata nililisikia mapema sana mwaka huu, kumbe ni kweli [emoji848] daaah...ila shetani huyu jamani [emoji34]Labda ni kiswahili changu sio kizuri; Kusema “Mimi nilikuwa ni mke wa rais wa awamu ya nne”. Mimi ninaitafsiri kama alikuwa ni mke wa rais wa awamu ya nne lakini alipotoa hiyo statement wameshaachana!