Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo:MWANANCHI
Duuh watu hawaridhiki na pesa na mavyeo ,mtu familia nzima wanavyeo mama mbunge , baba mstaafu raisi,mtoto naibu waziri ,wakati kuna watu hawana ajira melfu na maelfu wamegraduate ,kweli balaa ,hili jambo lingetokea nchi zilizoendelea za watu weupe zinazoendeshwa kidemokrasia ,wananchi wangeandamana kabisa
 
Kwahiyo itakuwa inahusika pia kwa wake wa viongozi tu au na waume zao Kama mume wa Samia na wake wenza wenzake?

Badala ya kupigania Watanzania wapate vitu vya msingi kama bima za Afya anajifikiria yeye mwenyewe. Kuna watu wa ajabu sana.
Hii Nchi unaweza tamani ipinduliwe tu mkuu
 
Kikwete aje aongee kwa hili
Pesa alikuwa hampi mkewe anakula zote au

First ladies waulize waume zao wawe first lady Raisi,Makamu na Waziri Mkuu huwa hakuna chochote kwa ajili ya wake zao ? Hadi watafute cha kufanya kuwaingizia kipato?

Wabunge hupewa pesa za wasaidizi na madereva

Raisi hana ? Au chochote akipata hata cha mwenza anakula mwenyewe?

Mama Samia ajibu ana mume

Mpango ana mke

Makamu wastaafu wapi wana wake

Mawaziri wakuu wastaafu wana wake
Majaliwa ana mke

Jibuni kama mnapewa halafu mnazipiga juu kwa juu semeni
 
CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.

Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?

MaCCM MAJINGA SANA!
 
CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.

Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?
Hii nchi ina wenyewe mkuu, hizo kura ni kukamilisha utaratibu tu.
 
Aisee mawazo yako yako fyongo kweli kweli. Ndiyo maana CCM inazidi kudharau wananchi kwani wengi hawajitambui. Huyu mama inasemekana (sina uhakika) alileta vi-deal vya kuingiza vitu anavyodai ni vya NGO yake kiholela wakati wa mwendazake lakini akawakiwa kweli kweli na mwendazake kwa kutaka asilipe kodi na wakakosana pakubwa. Naona sasa ule msemo wa paka akitoka.....unajihidhirisha.
Kama walikosana mbona alimpa ubunge ?..
 
Habari!
Hii taarifa imenipata nikaona niilete kama ilivyo.

My Take: Yani wanataka kila kitu serikali iwaandalie yani hadi Future yao kweli?

Mbunge wa Mchinga (CCM), Salma Kikwete ameishauri Serikali kutengeneza utaratibu ama sheria ya kuwahakikishia stahiki zao wake na wenza wa viongozi wa juu, akiwemo Rais, mara baada ya wenzi wao kuchaguliwa kushika nafasi hizo.

Mbunge huyo ambaye ni mke wa Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ameyasema hayo leo Ijumaa Aprili 22,2022 Bungeni Jijini Dodoma wakati akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora mwaka 2022/2023.

Amesema wake wa viongozi akiwemo rais, makamu wa rais na Waziri Mkuu mara baada ya wenza wao kushika nafasi hizo wanatakiwa kustaafu na kuendelea na shughuli nyingine.

Amesema kitendo hicho kinamaanisha kuwa utaalamu wake unatoweka.

“Ukiwiwa sana unaweza kusema hebu nianzishe Ngo (mashirika yasiyo ya kiserikali) lakini hata ukianzisha hakuna mtu anayeku suport ni wewe mwenyewe uhangaike ili kuhakikisha unapata raslimali ili uweze kuendesha Ngo,”amesema.

Ameomba Serikali kutengeneza utaratibu wa kisheria ambao mke wa kiongozi anapomaliza muda wake ajue ni nini anachotakiwa kukifanya.

“Ni imani yangu mtatengeneza utaratibu ama sheria inayomuhusu mke wa Rais ama wenza nini bada ya hapo kiendelee kufanyika ni jambo muhimu sana na si kwangu bali ni kwa vizazi vijavyo kujua haki zao,”amesema.

Chanzo: MWANANCHI
Yuko sahihi....

Kwani wake wa marais wanakuwa wangapi watuumize kiuchumi?!!!

#Siempre JMT🙏
 
Genge la mizoga ya msoga linazidi kutafuna tu!

Huyu nae anataka kiinua mgongo?

Hajaridhika tu jinsi basha wake alivyopora mapesa ya nchi kwa miaka kumi?

Na bado ubunge tukampa, na mwanae muuza madawa nae tukamtunuku ubunge wa bure!

Hashibi tu!?
Acha husuda muhaya wewe.....

Ushahidi wa kuusika kwake na madawa hebu upeleke polisi....
 
CCM oyee! Mkiambiwa CCM ni majizi yanayoangalia matumbo yao huwa hamuelewi. Wanyongee endeleeni kuvalishwa khanga na kuchezeshwa michiriku wakati wa kampeni hayo ndio matokeo yake.

Badala ya kuangalia future ya taifa na ya kizazi hiki na vijavyo ukiwa ndani ya chumba cha kupigia kurua; endelea kukumbuka ulanzi, dengerua, mnazi, bia, ubwabwa sijui pilau ulilolishwa jana kwenye kampeni! Ujinga ni tatizo kuu la nchi hii! Unajiuliza mtu kama huyu alipenyapenyaje hadi kuingia mjengoni; ni sababu ya jina? Ana akili sana? Ujinga wa wapiga kura? Rushwa? Au?
Kuyaangalia maslahi ya taifa ni pamoja na kuwaangalia hao wake wa viongozi Wetu wakubwa......

#Siempre JMT🙏
 
Back
Top Bottom