THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
- #21
Hua najiuliza mtu umekua Rais au mme wake ni Rais kweli miaka yote hio hajapata cha kufanya connection alizopata zote hazitoshi hadi anataka serikali imsaidie ndio yale maswala ya mzee MWINYI kupewa GariWakatiwe tu kipande cha nchi chenye madini,mbuga na bahari walamba asali.